Ila nami nimezisikia zikiongelewa mtaa fulani hapa Dar...tena kwa shoe shiner
Kuna habari imetufikia hapa ofisini kuwa watajwa hapo juu wamejiudhulu kutokana na kashfa ya DOWANS.
mwenye data atujuze jamani.
shoe shinner, wachonga mihuri na wauza kahawa wa mjini huwa wana story zenye ukweli kwa more than 50% usiniulize nimepata wapi hizo stats
yap, kisoda lazima atakuwa ni shoe shiner maana alipobanwa kasema amesikia hizi habari kwa shoe shiner. Jf imeingiliwa.
yap story imekaa ki-shoe shiner
Acha umbea
kuna 'shoe shiner' na 'shoe shiner undercover'
kwani shoeshiner hawezi kuwa great thinker?
Hata kama hawajajiuzuru,hawa mabwana kutokana na msimamo wa chama chao juu ya dowans wanapaswa kujiondoa huko.Na wakifanya hivyo nitaamini kuwa wako kwa ajili ya maslahi ya taifa na si chama.
i beg2differ kidogo, naona kama wamekaa ki maslah binafsi zaidi! , ngoja nika lale, kesho nitakufafanulia zaidi. Wakijiuzuru kwa kuwa hawakulitendea haki taifa kwenye swala la richmond cum dowans nitawaungamkono always. Otherwise- ubinafsi zaidi unatawala.