Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
Tukielekea kuadhimisha wiki ya ukatili wa kijjnsia kuna mambo yanaendelea baadhi ha makanisa ya manabii mitume na makuhani hayanipendezi.
Kuna mambo ukienda makanisani kwa watajwa hapo juu naumia sana.
Wanaita watoto wadogo kabisa wanawambia wewe uko kikundi cha wachawi. Kwa uwoga wanajibu ndio. Wanaulizwa umeingizwa na nani? Unasikia bibi mzaa mama ama babu mzaa bibi.
Jamani mjue shetani nae ni mwongo na mdanganyifu. Tusikubali kudhalilisha hawa watoto makanisani.
Waziri husika tunaomba mwonye haya mambo madhara yake ni makubwa.
Hawa watoto wanasoma wanahitaji kuwa na familia zao. Imagine mtu anawaona kwenge tv unahisi shuleni si wanawaita wachawi hao?
Mtoto unamtesa kisaikolojia haijalishi mlimpanga ajibu hivyo.
Kingine unasimamisha mtoto unamwambia wewe unahusika na wachawi anajibu hapana. Unalazimisha hutaki nikusaidie anakujibu unisaidie nini? Kama ni redio wakisikia haya majibu wanapozi kabisa na tv unakuta sauti haitoki why?
Kama mnahisi mtoto huyu anahusika na uchawi, mtume mtumishi amchukue na wazazi wake mpelekeni mahema ya maombi haina ulazima kuwaonesha watoto wadogo wakikiri wao ni wachawi.
Tuache kudhalilisha watoto makanisani.
Kuna mambo ukienda makanisani kwa watajwa hapo juu naumia sana.
Wanaita watoto wadogo kabisa wanawambia wewe uko kikundi cha wachawi. Kwa uwoga wanajibu ndio. Wanaulizwa umeingizwa na nani? Unasikia bibi mzaa mama ama babu mzaa bibi.
Jamani mjue shetani nae ni mwongo na mdanganyifu. Tusikubali kudhalilisha hawa watoto makanisani.
Waziri husika tunaomba mwonye haya mambo madhara yake ni makubwa.
Hawa watoto wanasoma wanahitaji kuwa na familia zao. Imagine mtu anawaona kwenge tv unahisi shuleni si wanawaita wachawi hao?
Mtoto unamtesa kisaikolojia haijalishi mlimpanga ajibu hivyo.
Kingine unasimamisha mtoto unamwambia wewe unahusika na wachawi anajibu hapana. Unalazimisha hutaki nikusaidie anakujibu unisaidie nini? Kama ni redio wakisikia haya majibu wanapozi kabisa na tv unakuta sauti haitoki why?
Kama mnahisi mtoto huyu anahusika na uchawi, mtume mtumishi amchukue na wazazi wake mpelekeni mahema ya maombi haina ulazima kuwaonesha watoto wadogo wakikiri wao ni wachawi.
Tuache kudhalilisha watoto makanisani.