Je Watanzania sisi ni taifa la wapendao kufanya kazi kwa bidii au ni taifa la walalamishi?
Jamii forum inajiita kuwa ni jumuiko la wanaofikiri {GREAT THINKERS}. Kwa bahati mbaya Great thinkers wa JAMII FORUM wamejikita katika siasa, sio uchumi na uzalishaji wa mali na utajiri kwa mtanzania wa kawaida. Maslahi ya Mtanzania hayataongezeka kwa kushinda kutwa nzima kuzungumzia KATIBA bila kuongeza jihudi za kufanya kazi na kuzalisha. Tusiwe wepesi kuwalaumu viongozi bila kujiuliza JE SISI NI TAIFA LA WAFANYAO KAZI KWAA BIDII NA KUJITUMA. China imepiga hatua kubwa sana kiuchumi kwa muda mfupi sana. Wachina hawakupoteaza muda wao mwingi sana kuimba KATIBA MPYA, KATIBA MPYA. Tanzania tutapata hiyo katiba MPYA. Tena itakuwa mpya sana, lakini hiyo KATIBA MPYA haitatuongezea pato la taifa endapo tutaendelea kuwa watu wa LALAMA na watu LAUMU.
Great THINKERS katika JAMII FORUM nusu saa iliyopita, JAMII FORUM ilikuwa na VIEWERS wengi katika MICHAPO YA KISIASA na sio katika Anga za uchumi, teknolojia, elimu ambazo zinaweza kutuondolea umaskini:
Siasa- 1177 viewers {thinkers!!}
Elimu- 84 viewers
International forum- 69 viewers
Business & Economy- 119 viewers
Nafasi za Kazi na tenda- 150 viewers
Technology, Gadgets & Science Forum- 79 viewers
Sheria- 16 viewers
Kwa hiyo, baada ya Katiba Mpya watanzania tutaanza kulalamika kuhusu Jumuiya.
Vile vile wasomi wetu wa vyuo vikuu ni wepesi sana kulaumu na kutoa mapendekezo ya kiujumla jumla {wananchi washirikishwe}. Walilaumu sana Mswada uliopita. Lakini ni wajanja sana katika kutoa mapendekezo ni namna GANI WANANCHI WAJADILI katiba. Je tuache shughuli zote za kiuchumi na kimaendeleo ili tujadili Katiba mpya? Je fedha za mijadala itokane na kodi na mipango mingine yote isimame ili tuishughulike Katiba? Mungu ibariki Tanzania.
Jamii forum inajiita kuwa ni jumuiko la wanaofikiri {GREAT THINKERS}. Kwa bahati mbaya Great thinkers wa JAMII FORUM wamejikita katika siasa, sio uchumi na uzalishaji wa mali na utajiri kwa mtanzania wa kawaida. Maslahi ya Mtanzania hayataongezeka kwa kushinda kutwa nzima kuzungumzia KATIBA bila kuongeza jihudi za kufanya kazi na kuzalisha. Tusiwe wepesi kuwalaumu viongozi bila kujiuliza JE SISI NI TAIFA LA WAFANYAO KAZI KWAA BIDII NA KUJITUMA. China imepiga hatua kubwa sana kiuchumi kwa muda mfupi sana. Wachina hawakupoteaza muda wao mwingi sana kuimba KATIBA MPYA, KATIBA MPYA. Tanzania tutapata hiyo katiba MPYA. Tena itakuwa mpya sana, lakini hiyo KATIBA MPYA haitatuongezea pato la taifa endapo tutaendelea kuwa watu wa LALAMA na watu LAUMU.
Great THINKERS katika JAMII FORUM nusu saa iliyopita, JAMII FORUM ilikuwa na VIEWERS wengi katika MICHAPO YA KISIASA na sio katika Anga za uchumi, teknolojia, elimu ambazo zinaweza kutuondolea umaskini:
Siasa- 1177 viewers {thinkers!!}
Elimu- 84 viewers
International forum- 69 viewers
Business & Economy- 119 viewers
Nafasi za Kazi na tenda- 150 viewers
Technology, Gadgets & Science Forum- 79 viewers
Sheria- 16 viewers
Kwa hiyo, baada ya Katiba Mpya watanzania tutaanza kulalamika kuhusu Jumuiya.
Vile vile wasomi wetu wa vyuo vikuu ni wepesi sana kulaumu na kutoa mapendekezo ya kiujumla jumla {wananchi washirikishwe}. Walilaumu sana Mswada uliopita. Lakini ni wajanja sana katika kutoa mapendekezo ni namna GANI WANANCHI WAJADILI katiba. Je tuache shughuli zote za kiuchumi na kimaendeleo ili tujadili Katiba mpya? Je fedha za mijadala itokane na kodi na mipango mingine yote isimame ili tuishughulike Katiba? Mungu ibariki Tanzania.