Wanabodi hebu tujuzeni. Hapa kazini kwangu tumezoea kupokea mshahara tarehe 25 ya kila mwezi. Lakini cha ajabu mpaka leo haikulikani mshahara utatoka lini. Maelezo tunayopata ni kwamba pesa ya mshahara toka Hazina haijaingia kwenye account.
Je hii ni kwetu tu au na kwingine pia? na kama na kwengine ni hivyo tatizo ni nini?
Je hii ni kwetu tu au na kwingine pia? na kama na kwengine ni hivyo tatizo ni nini?