Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,512
- 220,207
Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "
Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?
Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?