Hawezi hata kidogo kwa sababu za kiusalama, lkn pia bado cc tuna ile hali ya kujiona "bwana mkubwa" pindi mtu anapokwaa madaraka makubwa au wadhifa fulani, mtu huyo hawezi hata fanya mambo madogo tu. Akiulizwa ooh mi mkubwa bwana. With time mambo haya yatakwisha na watu " hao watakao kwaa nyadhifa" wataishi kama kawaida na of course security itakuwa ime-advance.
kwa bongo ukifanya hivyo watatukana kwa madai hujui nafasi ya wazifa wako? Kwani hata disco, na hata tu ukikutwa unadumisha mila ni kasheshe hawakupi kura tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.