Je raisi wetu anaweza haya?

tz1

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
2,121
534
Au ataogopa kuchafuka?

article-2051132-0E71E43F00000578-659_634x529[1].jpg
 
Hawezi hata kidogo kwa sababu za kiusalama, lkn pia bado cc tuna ile hali ya kujiona "bwana mkubwa" pindi mtu anapokwaa madaraka makubwa au wadhifa fulani, mtu huyo hawezi hata fanya mambo madogo tu. Akiulizwa ooh mi mkubwa bwana. With time mambo haya yatakwisha na watu " hao watakao kwaa nyadhifa" wataishi kama kawaida na of course security itakuwa ime-advance.
 
Africa tuna dhana potofu,ukubwa ni kuoshwa viatu. Twapenda ukubwa sana na kuwaona wenzetu watumwa.
 
Back
Top Bottom