realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,981
Kaka usipingane na malaika mkuu,leo kichwa hakikuwa sawa saaaaaana hasa ukizingatia pia mawingu.
Mange kawanyoosha!Vp kamanda mbona hukuonekena kwenye maandamano yetu
Hiki ni kipimo tosha kwamba Bunge letu limeshikwaLeo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa Dodoma katika maadhimisho ya Sherehe ya miaka 54 ya Muungano wa Tanzania ameipandisha Manispaa ya Dodoma na kuwa jiji la Dodoma. Aidha Mkurungenzi wa Manispaa hiyo amempandisha na kuwa Mkurungenzi wa jiji la Dodoma
Kwa mujibu wa Sheria na. 8 ya 2007 kifungu cha 5, mamlaka yenye uwezo wa kupandisha hadhi manispaa kuwa jiji ni Bunge
Je, kuna kifungu cha sheria au kanuni inayompa Rais wa Tanzania uwezo wa kufanya Manispaa kuwa Jiji?
Sheria zinakinzana sana! Hii ni ya 1982, inayoipa mamlaka Bunge ni ya 2007 sasa ipi ina nguvu?Sheria si hii hapa mkuuView attachment 757070
Hujajibu swali mkuu.Kaka usipingane na malaika mkuu,leo kichwa hakikuwa sawa saaaaaana hasa ukizingatia pia mawingu.
Kama na wewe ulikuwa umejibanza home, umejifunika shuka wakati mlikuwa mnatujazia server hapa na kelele za maandamano, Mola anakuona.Mange kawanyoosha!
Nenda tu kwenye sheria za serikali za Mitaa mamlaka za wilaya na mamlaka za miji utaona alicho kifanya. Kimsingi sheria hiyo ya upangaji inazo kasoro. Land Planning should confine it self on land matters only. Ni sawa na kusema kuwa eneo flani limewiva kupangwa likapangwa alafu ukawa mji wakati specific laws za local government Authorities zinaelekeza who does what and how. Ni matumaini yangu kuwa mkulu yuko sahihiKaka usipingane na malaika mkuu,leo kichwa hakikuwa sawa saaaaaana hasa ukizingatia pia mawingu.
Sheria si hii hapa mkuuView attachment 757070
Lakini mkuu this is not "land planning Act" ni "Urban Planning Act" sasa sijui swala la land linatoka wapi.Nenda tu kwenye sheria za serikali za Mitaa mamlaka za wilaya na mamlaka za miji utaona alicho kifanya. Kimsingi sheria hiyo ya upangaji inazo kasoro. Land Planning should confine it self on land matters only. Ni sawa na kusema kuwa eneo flani limewiva kupangwa likapangwa alafu ukawa mji wakati specific laws za local government Authorities zinaelekeza who does what and how. Ni matumaini yangu kuwa mkulu yuko sahihi
Yaani maoni yako ndo sheria inavyotaka.Sheria hii ilitungwa miaka 12 baadae baada ya kuptishwa kwa sheria za local government authority.Hata hvyo umechanganya mambo hapa tunazungumzia urban planning act sio landNenda tu kwenye sheria za serikali za Mitaa mamlaka za wilaya na mamlaka za miji utaona alicho kifanya. Kimsingi sheria hiyo ya upangaji inazo kasoro. Land Planning should confine it self on land matters only. Ni sawa na kusema kuwa eneo flani limewiva kupangwa likapangwa alafu ukawa mji wakati specific laws za local government Authorities zinaelekeza who does what and how. Ni matumaini yangu kuwa mkulu yuko sahihi
Sheria gani mkuu? Maana nimepitia hiyo ya "urban planning inasema mampaka hiyo ni ya National Assembly. Lakini kama kuna sheria yoyote inayosema tofauti ningependa kuijua pia, we are just learning.Magufuli yupo sahihi 100%, katiba na sheria zilizopo zinampa mamlaka hayo ninyi ndio majuha hamjui kitu mnaingiza siasa kwenye kila jambo
Eti mtu anapandisha tu kwa sababu kuna majiji machache na Dodoma sio jiji khaah,sijawahi kuona maajabu kama haya aisee
Akikuletea hiyo sheria unitag.Sheria gani mkuu? Maana nimepitia hiyo ya "urban planning inasema mampaka hiyo ni ya National Assembly. Lakini kama kuna sheria yoyote inayosema tofauti ningependa kuijua pia, we are just learning.
DODOMA sasa ni JIJI... full stop.Eti mtu anapandisha tu kwa sababu kuna majiji machache na Dodoma sio jiji khaah,sijawahi kuona maajabu kama haya aisee
aseeEti mtu anapandisha tu kwa sababu kuna majiji machache na Dodoma sio jiji khaah,sijawahi kuona maajabu kama haya aisee
Hiyo ya 1982 bado inatumika?Sheria si hii hapa mkuuView attachment 757070