Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,660
- 20,993
Nilikuwa naomba kujuzwa hili?, na je kwa mshahara wake kiwango chake cha mkopo kinaweza kufikia kiasi gani kwa kuwa rais huwa na mshahara mnono sana.
Anaweza na amekopea sana tuuNilikuwa naomba kujuzwa hili?, na je kwa mshahara wake kiwango chake cha mkopo kinaweza kufikia kiasi gani kwa kuwa rais huwa na mshahara mnono sana.
HahahahaNilikuwa naomba kujuzwa hili?, na je kwa mshahara wake kiwango chake cha mkopo kinaweza kufikia kiasi gani kwa kuwa rais huwa na mshahara mnono sana.
Unaniangusha kwa kushindwa kunata na codesAnaweza na amekopea sana tuu
Kuna mapimbi wamezusha huko sasa nikajiuliza rais hawezi kukopa kama mtumishi wa umma kama mtumishi yoyote yule na akafanya yale ayapendayo kumoyo?Anaweza na amekopea sana tuu
Tunaelekea uchaguzi so uzushi na propaganda na kuchafuana zitakuwa nyingi sana.Kuna mapimbi wamezusha huko sasa nikajiuliza rais hawezi kukopa kama mtumishi wa umma kama mtumishi yoyote yule na akafanya yale ayapendayo kumoyo?
Sio zake na hawezi kuagiza matumizi ya kienyeji.Hahahaha
Sicheku kwa kubeza. Bali nawaza rais anakopaje wakati hela zote ni zake?
Si unasikia hata madelu anavyopiga chorus kuwa mama katoa hela ziende huku na kule?
Sio zake na hawezi kuagiza matumizi ya kienyeji.Hahahaha
Sicheku kwa kubeza. Bali nawaza rais anakopaje wakati hela zote ni zake?
Si unasikia hata madelu anavyopiga chorus kuwa mama katoa hela ziende huku na kule?
Pesa hawa si za rais, bali rais huweza kupendekeza kutegemeana na uhitaji kwa ukubwa wake kimsingi mipango huwa imekwisha pangwa, kwa fedha husika kwa kila sekta, Rais anaweza kuongeza au kupunguza fedha kuendana na uhitaji hapo ndipo hutamkwa "rais ametoa kiasi kadhaa wa kadhaa...."Hahahaha
Sicheku kwa kubeza. Bali nawaza rais anakopaje wakati hela zote ni zake?
Si unasikia hata madelu anavyopiga chorus kuwa mama katoa hela ziende huku na kule?
Sio Samia, labda yule!Yeye anachukua, akitaka hata pesa zako anaweza kuzichukua, na humfanyi chochote
Unamkana boss leo au?Sio zake na hawezi kuagiza matumizi ya kienyeji.
Kifungu kipi cha sheria ama ibara ya Katiba inayompa uwezo huo?Pesa hawa si za rais, bali rais huweza kupendekeza kutegemeana na uhitaji kwa ukubwa wake kimsingi mipango huwa imekwisha pangwa, kwa fedha husika kwa kila sekta, Rais anaweza kuongeza au kupunguza fedha kuendana na uhitaji hapo ndipo hutamkwa "rais ametoa kiasi kadhaa wa kadhaa...."
Kwa hiyo pesa ni za Rais?Unamkana boss leo au?
Kunavitu ambavyo rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania akishaapishwa hatakiwi kuwa navyo. Moja wapo ni madeni. Ikitokea amechaguliwa akiwa na madeni, serikali itamlipia madeni yote. Na hivyo haruhusiwi kukopa. Hata hivyo hana sababu ya kukopa kwa maanda anahudumiwa na serikali kila kitu. Hata kama akihitaji kondom, atanunua kwa pesa ya serikali.Nilikuwa naomba kujuzwa hili?, na je kwa mshahara wake kiwango chake cha mkopo kinaweza kufikia kiasi gani kwa kuwa rais huwa na mshahara mnono sana.
Si ndo mnavyosema kila mnavyopewa mic! Kipi cha ajabuKwa hiyo pesa ni za Rais?