Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Mkuu wa mkoa bado ni yule yule, William Lukuvi
MBAGALA
Watu waliandikishwa kuzingatia upenzi wao wa vyama vya siasa
Orodha ya wahanga ilikuwa na kasoro nyingi
Tathmini ilikosewa kwa makusudi, aliyepoteza nyumba kalipwa fidia ya ufa
Wahanga hewa waliingizwa kwenye orodha na wakalipwa pesa nyingi
Hadi leo kuna wahanga ambao hawajalipwa
Zoezi liliendeshwa kibabe na hakuna nafasi ya wananchi kukata rufaa
KIPAWA
Fidia isiyo sawa na thamani
Majina bandia yaliingizwa kwenye orodha na kulipwa wa kwanza
Ubabe kuliko maridhiano
Kutokana na uzoefu huu, ni vigezo gani vinafanya ofisi hii chini ya kiongozi huyo huyo kupewa jukumu jingine kubwa kuliko hayo ambayo ilishindwa kutekeleza vema na haijawajibika hadi leo.
Je, michango yetu kwa wahanga kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar iko salama? Itawafikia wahanga?
MBAGALA
Watu waliandikishwa kuzingatia upenzi wao wa vyama vya siasa
Orodha ya wahanga ilikuwa na kasoro nyingi
Tathmini ilikosewa kwa makusudi, aliyepoteza nyumba kalipwa fidia ya ufa
Wahanga hewa waliingizwa kwenye orodha na wakalipwa pesa nyingi
Hadi leo kuna wahanga ambao hawajalipwa
Zoezi liliendeshwa kibabe na hakuna nafasi ya wananchi kukata rufaa
KIPAWA
Fidia isiyo sawa na thamani
Majina bandia yaliingizwa kwenye orodha na kulipwa wa kwanza
Ubabe kuliko maridhiano
Kutokana na uzoefu huu, ni vigezo gani vinafanya ofisi hii chini ya kiongozi huyo huyo kupewa jukumu jingine kubwa kuliko hayo ambayo ilishindwa kutekeleza vema na haijawajibika hadi leo.
Je, michango yetu kwa wahanga kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar iko salama? Itawafikia wahanga?