New york City
Senior Member
- Jul 24, 2020
- 175
- 566
Habari wadau naomba kueleza kifupi
Baada ya kumaliza mkataba wa ajira nilienda nssf kudai mafao yangu after six hard months nikapewa 33.3 ya salary kila mwezi kwa miezi sita.
Baada ya miezi 18 nikarudi kudai the rest na kujaza kila kitu nikisubiri pesa ambazo ni zaidi ya 10+ million.
SASA nimelog in kwenye account yangu naona status: PAID kurudi kwenye account nimekuta 800k tu
Nimeenda ofisini nazungushwa tu huku baadhi ya watu wakiniambia hawajawahi kuona kitu kama hicho.
SWALI: je kuna mtu yoyote imewahi kumtokea hii? alipata solution? Msaada jamani msimu wa kupanda huu niliplan kulima Ufuta ndoto zangu zitazimwa na hawa watu
Msaada tafadhali
Baada ya kumaliza mkataba wa ajira nilienda nssf kudai mafao yangu after six hard months nikapewa 33.3 ya salary kila mwezi kwa miezi sita.
Baada ya miezi 18 nikarudi kudai the rest na kujaza kila kitu nikisubiri pesa ambazo ni zaidi ya 10+ million.
SASA nimelog in kwenye account yangu naona status: PAID kurudi kwenye account nimekuta 800k tu
Nimeenda ofisini nazungushwa tu huku baadhi ya watu wakiniambia hawajawahi kuona kitu kama hicho.
SWALI: je kuna mtu yoyote imewahi kumtokea hii? alipata solution? Msaada jamani msimu wa kupanda huu niliplan kulima Ufuta ndoto zangu zitazimwa na hawa watu
Msaada tafadhali