Naomba kujua mchango unaotolewa na Tanganyika Law Society (TLS) katika mchakato wa Katiba Mpya.
Naomba kama wanatarajia kuandaa mijadala kwenye redio au TV, kujua hivyo kutatusaidia tupate mwanga kutoka kwa wanasheria wataalamu ambao wamechambua Katiba za nchi mbalimbali na kujua udhaifu na uimara wake.
Tanzania itajengwa na Watanzania.
Naomba kama wanatarajia kuandaa mijadala kwenye redio au TV, kujua hivyo kutatusaidia tupate mwanga kutoka kwa wanasheria wataalamu ambao wamechambua Katiba za nchi mbalimbali na kujua udhaifu na uimara wake.
Tanzania itajengwa na Watanzania.