demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Sisi sote tumejionea perfomance ya anayejiita klabu bora 19 barani afrika.
Sijui umenielewa?
Yaani nawazungumzia wale walio leta orodha kuwa na wao wamo ndani ya klabu 10 bora barani afrika.
Hawa jamaa zetu mpaka sasa mechi 5 zilizopita walizo cheza ugenini hawaja shinda hata mechi 1. Lakini bado ukiwasikia sauti zao wanakwambia wao wako 10 bora afrika.
Sasa hawa jamaa zetu juzi juzi eti nao waliposti picha mitandaoni wakionyesha wako kwenye vikao kuhusu CAF Super League.
Je unadhani na kikosi chao hiki cha tia maji tia maji wanaweza kweli shindana na wababe wa bara ikiwa klabu ndogo kama berkane (Azam FC ya morroco) wame wanyanyasa nna ile?
Hapo umekutana na Berkane na sio ES de Tunis au WAD Casablanca wala Orlando Pirates.
Kwasababu hata mimi ninawatamani hawa wapuusi, na likosi lao libaya ilo.
Au isije kuwa Babra alienda tu kuomba nafasi ya upendeleo ili nao washiriki?
Hawa Jamaa wana vituko sana yaani.
Halafu kuna jamaa ambae nilikuwa namwelezea kwamba hawana uwezo wa kupambana kwenye haya mashindano makubwa Afrika akawa mbishi akaniambia anaitamani Mamelodi Sundowns, sasa kama hawa Berkane wanakuzabua namna hii utawezana kweli na watu walio na full facility ya soka.
Ni nani mwingine anaye shangazwa na hawa jamaa.
Sijui umenielewa?
Yaani nawazungumzia wale walio leta orodha kuwa na wao wamo ndani ya klabu 10 bora barani afrika.
Hawa jamaa zetu mpaka sasa mechi 5 zilizopita walizo cheza ugenini hawaja shinda hata mechi 1. Lakini bado ukiwasikia sauti zao wanakwambia wao wako 10 bora afrika.
Sasa hawa jamaa zetu juzi juzi eti nao waliposti picha mitandaoni wakionyesha wako kwenye vikao kuhusu CAF Super League.
Je unadhani na kikosi chao hiki cha tia maji tia maji wanaweza kweli shindana na wababe wa bara ikiwa klabu ndogo kama berkane (Azam FC ya morroco) wame wanyanyasa nna ile?
Hapo umekutana na Berkane na sio ES de Tunis au WAD Casablanca wala Orlando Pirates.
Kwasababu hata mimi ninawatamani hawa wapuusi, na likosi lao libaya ilo.
Au isije kuwa Babra alienda tu kuomba nafasi ya upendeleo ili nao washiriki?
Hawa Jamaa wana vituko sana yaani.
Halafu kuna jamaa ambae nilikuwa namwelezea kwamba hawana uwezo wa kupambana kwenye haya mashindano makubwa Afrika akawa mbishi akaniambia anaitamani Mamelodi Sundowns, sasa kama hawa Berkane wanakuzabua namna hii utawezana kweli na watu walio na full facility ya soka.
Ni nani mwingine anaye shangazwa na hawa jamaa.