Wadau,
Naombeni mnijuze kama kuna madhara yoyote kwa mtoto endapo mama atamnyonyesha huku akiwa na ujauzito mwingine.
Na je,ni baada ya kipindi gani mama anatakiwa kusitisha kunyonyesha akishajigundua kuwa ana ujauzito?
Siku ingine mcheze kwa stepAsanteni kwa ushaur wenu jmn at least nimepata moyo