Ni kweli! Miti isiguse au kukaribia nyumba!Mimi siyo mtaalam wa hilo lakini miti kando ya ukuta hutumiwa na wezi Kama ngazi/kivuko Cha kuingilia/kutorokea wakati wa kumtembelea mlengwa
Miti hatari hapo ni hiyo yenye red, mingine yote haina shida2. Miparachichi uwe na eneo kubwa panda katikati ila siyo karibu na kuta
3. Miembe - kapande shambani ...ukubwani inapasua kuta
Natanguliza shukrani!
Asante kwa ufafanuziMiti hatari hapo ni hiyo yenye red, mingine yote haina shida
we acha tu mi mwenyw nina mwembe dodo upo karibu.., nguvu za kukata imeniishia.., nilinunua kiwanja na miti kadhaa ndani yakeHapo kwenye muembe nasubiri jibu.. Kuna muembe wangu matunda yake matamu... Kila nikifikiri kuukata nijenge msingi naona ugumu. Had nkawaza nipitishe msingi kwa pemben. Naiche cm 5 frm mti
Mnh usahapigwa nadhanMiti kando ya ukuta hutumiwa na wezi Kama ngazi/kivuko Cha kuingilia/kutorokea wakati wa kumtembelea mlengwa
Cheza mbali na mpera. Ni mdogoye muarobainiKama hakuna Muarubaini hapo basi nyumba yako iko salama
Umemaliza maelezo yote mkuu,ilibidi wakuandikie ExcellentKuna baadhi ya miti ya matunda ina mizizi korofi sana. Mmoja wapo ni parachichi. Hasa hizi parachichi za asili. Pia kuna mti unajulikana kama grevilia(uchagani miti hii imejaa sana). Mizizi ya grevilia inajua sana kujipenyeza. Hii miti miwili usipande kabisa karibu na nyumba.
Mwembe wacha angalau mita 7 hadi 10 kutoka ukutani. Ukiachana na suala la mizizi pia matawi yake hujiachia sana kadri mti unavyozidi kukua.
Fenesi nao huwa unakua mkubwa sana. Huu panda shambani huko.
Jamii yote ya michungwa(chungwa, ndimu, chenza, limao). Kuanzia mita 4 hadi 7 toka usawa wa ukuta haisumbui.
Topetope, komamanga, nayo yote umbali kama wa michungwa tu bila kusahau mapera.
Stafeli huwa inarefuka sana. Zambarau pia weka shamba huko huu unakuaga mkubwa mno.
Mtanisahihisha kama kuna sehemu nimekosea
Inafikirisha sana. Nje ukipiga michongoma bila ukuta halafu ndani ukaweka miti, na hiyo miti matawi yawe juu ninadhani itapunguza hii riskMiti kando ya ukuta hutumiwa na wezi Kama ngazi/kivuko Cha kuingilia/kutorokea wakati wa kumtembelea mlengwa