Je, Ni sahihi ndege hizi kupewa jina la 'hapa kazi tu'?

Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Basi itapendeza zaidi wakazipaka rangi ya kijani na kuandika hapa kazi tu
 
utadharaulika kwa komenti za hovyo kama hizi!

Usijitoe ufahamu pasco!
Tangu jamaa pasco alipo teatea uhalali wa matokeo ya uchuguzi mkuu ulio pita eti kwa sababu matokeo yalikua scanned kwenye vituo na kutumwa kwa mtandao NEC.
Tangu hapo pasco nayasoma maandiko yake kwa tahadhari kuuu.
 
Sa ztakua na tofaut gan na bajaj na daladala maana ndo tumezoea huko ndo kuna vijimaneno(vya khanga)!!!
 
Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Pasco kaka yangu nin kimekusibu? Siku hiz majibu yako ni mepes Sana Kwenye hoja nzito. Nmeshangaa kuona hili unaliunga mkono. Bora Hizi ndege ziitwe ngorongoro au Kilimanjaro au serenget au chochote kile kitakachotutambulisha kimataifa. Hapa Kaz tu inaishia hapa mtukula na Kwenye boda nyingne Za dola hii ya Tanzania
 
Maprofesa wetu ni kama hawa
1. Juma Kapuya
2. Ibrahim Lipumba
3. Mbarawa
4. Tibaijuka

Nadhani inabidi walioweka category ya profesa katika academics washitakiwe kwa shambulizi na utesi wa akili za watu
Profesa maji marefu
Profesa Jay
 
Kauli mbiu ya "Hapa Kazi Tuu" ilikuwa ni slogan ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyo kwa ilani ya uchaguzi ya CCM, baada ya CCM kushinda, slogan hiyo ina change hands na kuwa ni kauli mbiu ya taifa na ilani ya CCM ndio ilani ya nchi, hivyo they are right, Ukawa wakichukua nchi 2020, nao ruksa kuiandika "People's Power!".
Pasco
Ridiculous!
 
naomba niandike kwa kifupi,hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama..je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hiz za uma???
Usikonde mkuu, ukweli ni kwamba si sahihi hata kidogo kutumia kauli mbiu ya chama cha Siasa. Lakini ninaamini na hata na sisi tutakaposhika madaraka tutazibadilisha kauli mbiu na kuziita Mabadilikooo _________.
 
utadharaulika kwa komenti za hovyo kama hizi!

Usijitoe ufahamu pasco!
Kwan anayekuheshimu wewe ni naani mpaka umtishe pasco kwa hofu ya kudharaulika??

Acha mbwembwe mjomba... heshima kadai kwa mkeo..
 
Anzisha kaka zile mnazopewa ndio muandike hiyo mipasho ndege sio za chama inatakiwa ziandikwe mambo ya maana hasa utalii na wanyama tulionao! Acheni siasa kwenye mambo ya msingi
Slogan ya kitoto?!?!? Wakati ndio inafanya kazi kwa Sasa! Hebu axcheni ushamba msipozipanda safi sana mko wangapi vile?!?!?! Sisi( wananchi) tutaenjoy na bei ya dezo!
 
naomba niandike kwa kifupi,hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama..je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hiz za uma???
Kwani zimeanzikwa kazi tu?
 
Back
Top Bottom