Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Naomba niandike kwa kifupi,
Hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama, je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hizi za uma?
Hivi kweli ni sahihi ndege za umma kuitwa kauli mbiu ya chama wakati zimenunuliwa kwa kodi za wananchi ambao wapo wenye itikadi tofauti na wasio na vyama, je ni sahihi kauli mbiu hii ya chama kutumika kwenye ndege hizi za uma?