swamy
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 252
- 143
Kumekuwa na mvutano wa maneno kutoka kwa viongozi wa serikali na viongozi wa kidini.... dini ya kiislamu, katika kijiji cha DONGOBESH mkoani manyara wilaya ya mbulu, watu wamekuwa wakitishiwa na polisi tangu saa 6 usiku wa tarehe 26, wanagongewa wakikataa kufungua mlango na wakisema hawataki sensa, polisi wakishirikiana na makarani wa sensa, wanawaambia musipofungua tunawatuhumu kama nyinyi ni majambazi, na tutawapeleka polisi kuwashtaki, Haya yamefanyika leo GUEST ya NILE DONGOBESHI......, JE NIKIULIZA WANASHERIA ANAEKATAA KUHESABIWA ANASTAHILI KUSHTAKIWA!!!!!!!!!!! NA HUKMU YAKE NINI?.