Je ni kweli Simba sc bajeti yao ya msimu ujao ni bilioni 24 au walizungumza tu baada ya kuona watani zao Yanga sc kusema bajeti yao ni bilioni 20??

Hata tangazo lao la jezi limekuja siku kadhaa baada ya kuona YANGA wametangaza kuwa jezi zipo tayari.

Mbumbumbu Maandazi Fc hawana akili wanawachezea mashabik wao maandazi
 
FB_IMG_1682646137959 (1).jpg
 
Back
Top Bottom