kijana mwenzetu Nape anashindwa kusema mikakati yao ambayo wanatarajia kuwakomboa watanzania amekaria kusifia chama na kujibu hoja atajibu mpaka lini, kwa maana wamegundua kuwa chama chao kilikiwa na mapungufu makubwa wakaamua kujivua magamba je wataweza kuhimiri vishindo vya wapinzani wao ambao tayari wameisha watikisa nalo hilo gamc jipya?