Je ni kweli Mlio Serikalini hamjapata mshahara wa mwezi Januari?

chamajani

JF-Expert Member
Sep 22, 2010
552
31
Siku chache zilizopita, kuna mwana great thinker mmoja hapa jf alikuja na habari aliyojinasibu kuwa ni kutoka ktk chanzo kinachoaminika kwamba Hazina imekauka kiasi ya kuja kushindwa kulipa mishahara ya mwezi Januari, Je ni kweli nyie mlio ktk payroll ya Serikali hamjalipwa au alikuwa akiifurahisha nafsi yake mwana gt yule? Hatujasahau kwani hili ni suala 'sensitive' sana kwa sekta nyingi. Tujuzeni!
 
Siku chache zilizopita, kuna mwana great thinker mmoja hapa jf alikuja na habari aliyojinasibu kuwa ni kutoka ktk chanzo kinachoaminika kwamba Hazina imekauka kiasi ya kuja kushindwa kulipa mishahara ya mwezi Januari, Je ni kweli nyie mlio ktk payroll ya Serikali hamjalipwa au alikuwa akiifurahisha nafsi yake mwana gt yule? Hatujasahau kwani hili ni suala 'sensitive' sana kwa sekta nyingi. Tujuzeni!


Wamelipa ila kwa kuchelewa!! deadline ya hazina Kudeposi mishahara Bank ni tarehe 25 ya kila mwezi ila ilivuka..... Na pia nin wasiwasi mshahara ulilipwa kwa mafungu! si bank zote zilipokea pesa kutoka Hazina kwa siku moja!!!
 
Siku chache zilizopita, kuna mwana great thinker mmoja hapa jf alikuja na habari aliyojinasibu kuwa ni kutoka ktk chanzo kinachoaminika kwamba Hazina imekauka kiasi ya kuja kushindwa kulipa mishahara ya mwezi Januari, Je ni kweli nyie mlio ktk payroll ya Serikali hamjalipwa au alikuwa akiifurahisha nafsi yake mwana gt yule? Hatujasahau kwani hili ni suala 'sensitive' sana kwa sekta nyingi. Tujuzeni!

mshahara ulishaisha si unajua mwezi wa shida huu madeni kibao na ada n.k. tehetehe
 
Back
Top Bottom