Siku chache zilizopita, kuna mwana great thinker mmoja hapa jf alikuja na habari aliyojinasibu kuwa ni kutoka ktk chanzo kinachoaminika kwamba Hazina imekauka kiasi ya kuja kushindwa kulipa mishahara ya mwezi Januari, Je ni kweli nyie mlio ktk payroll ya Serikali hamjalipwa au alikuwa akiifurahisha nafsi yake mwana gt yule? Hatujasahau kwani hili ni suala 'sensitive' sana kwa sekta nyingi. Tujuzeni!