Dr. Mwigulu Nchemba
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 416
- 2,037
Huwajui hata waoga,? MIMI NI ACTOR AND DIRECTOR Kwenye Siasa, Yaani HAKUNA mzazi hata mmoja amewahi hata kuwa mwenyekiti wa TAWI. WALA HAKUNA MZAZI KASOMA HATA SHUKE YA DARASA LA NNE. SIJAFIKA HAPA KWA KUBEBWA NA BABA WALA MJOMBA. WALA SIJARITHI JINA LA SIASA. Completely, A new person, unataka ujasiri gani zaidi ya KUTENGENEZA profile mwenyewe.Huyu mtu ni muoga sanaa, na amezoea vya bure na vya kutafuniwa. Hivyo basi, mikiki mikiki ya upinzani hawezi kabisa, na akienda upinzani basi atarudi chama dola kabla hata uchaguzi wenyewe wa 2020 kwisha, maana haitokuwa uchaguzi, bali ni ujambazi.