Wafanyakazi wa serikali mmeshapata mshahara?? tuanzi kwanza hapoNawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Mbona kuna taarifa za uhakika kuwa mmesuka mkakati wa mapokezi mazito na Kabwe pamoja na Shariff ili ukihame chama Tawala?Sio Mimi wa KUHAMA CCM
Mkuu kumbe upo ukuKaribu SANA
alichana bajeti ya kambi rasmi ya upinzani bungeni.
alisema anaushahidi ni chama cha cdm kuwa ni magaidi na anaweza kutoa ushahidi hata mbinguni
Kumbe siasa kwako ni wali tu wa kwenye sinia?Hili hata sio fumbo. SUBIRINI MWINGINE. NINA AKILI TIMAMU NISHINDWE KUSHIBA WALI ULIOKO KWENYE SINIA NIKATEGEMEE KUSHIBA WAKUOKOTA CHINI. ? SIO MIMI WA KUHAMA CCM, SIO MIMI WA KUHAMIA ACT
Aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Uondoke huko bao la mkono umuachie nani?Hili hata sio fumbo. SUBIRINI MWINGINE. NINA AKILI TIMAMU NISHINDWE KUSHIBA WALI ULIOKO KWENYE SINIA NIKATEGEMEE KUSHIBA WAKUOKOTA CHINI. ? SIO MIMI WA KUHAMA CCM, SIO MIMI WA KUHAMIA ACT
Yaani nina hamu kweli nimjue huyu JIWE kwani kila Siku huwa naona Watu wakimuandika na kumtajataja sana hapa ila nimejitahidi Kumjua nimeshindwa hadi hivi leo. Ni nani huyu JIWE jamani?
Umesahau kitu kimoja .Ni yule aliyekusanya nyuki kibao kwenye sandarusi mwaka fulani wa uchaguzi akaenda kuwaachia kwenye mkutano wakati mpinzani wake akihutubia, baada ya hapo mkutano wa mpinzani wake ukavurugika baada ya nyuki kuwauma sana wananchi waliookuwa wanamsikiliza mpinzani wake.Nawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Hili hata sio fumbo. SUBIRINI MWINGINE. NINA AKILI TIMAMU NISHINDWE KUSHIBA WALI ULIOKO KWENYE SINIA NIKATEGEMEE KUSHIBA WAKUOKOTA CHINI. ? SIO MIMI WA KUHAMA CCM, SIO MIMI WA KUHAMIA ACT
mimi mwenzio ni CCM kimwili tu lakini kiroho nshatoka huko kitambo.Sio Mimi wa KUHAMA CCM
Kama hukumbuki matumizi ya nahau, misemo, methali lahaja, rudia Tena kujisomea kiswahili ndgKumbe siasa kwako ni wali tu wa kwenye sinia?
Walijipanga nasi tunarudi Kujipanga. Nasi tutasajili veterans, inaonekana wanamatokeo😅😆😁😄😄😂🤣Mtani Mheshimiwa kumbe Mleta Uzi alikuwa anakulenga Wewe au labda Mafanikio ya Simba SC yanaanza ' Kukuchanganya ' kiasi hiki?
Nipo Comrade.Mkuu kumbe upo uku
Nawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
HAKUNA KITU KAMA HICHO. ANGALIENI NA AINA YA WATU WA KUHAMA ILI KUTENGENEZA UZUSHI COMRADES. UNAONGELEA MUFT KUOKOKA AKIWA MACA AU ASKOFU KUSLIMU AKIWA JERUSLM😆😅😅😂😂😂Mbona kuna taarifa za uhakika kuwa mmesuka mkakati wa mapokezi mazito na Kabwe pamoja na Shariff ili ukihame chama Tawala?