Je, ni kweli kwamba yule kada wa CCM anayehusishwa Kuhamia ACT ni huyu?

Nachofahamu jamaa hatorudi bungeni na zengwe linasukwa kwa ustadi mkubwa sana, maana kwenye orodha ya waliokua wanamsemasema jiwe pembeni vibaya na wakiwa karibu wanamsifia yumo, tusubiri muda ufike.
 
  1. Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
  2. Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
  3. Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
  4. Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
  5. Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
  6. Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
  7. Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
  8. Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
  9. Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
  10. Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
  11. Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Nawasilisha.
Wafanyakazi wa serikali mmeshapata mshahara?? tuanzi kwanza hapo
 
Ukisikia mtu anataja jiwe jua no binadamu dhaifu na mwoga sana
Yaani nina hamu kweli nimjue huyu JIWE kwani kila Siku huwa naona Watu wakimuandika na kumtajataja sana hapa ila nimejitahidi Kumjua nimeshindwa hadi hivi leo. Ni nani huyu JIWE jamani?
 
  1. Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
  2. Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
  3. Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
  4. Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
  5. Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
  6. Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
  7. Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
  8. Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
  9. Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
  10. Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
  11. Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Nawasilisha.
Umesahau kitu kimoja .Ni yule aliyekusanya nyuki kibao kwenye sandarusi mwaka fulani wa uchaguzi akaenda kuwaachia kwenye mkutano wakati mpinzani wake akihutubia, baada ya hapo mkutano wa mpinzani wake ukavurugika baada ya nyuki kuwauma sana wananchi waliookuwa wanamsikiliza mpinzani wake.
 
Jiwe..nasikia mason wameshindwa kabisa nyundo zao zimeharibika sababu yako..Jiwe yasemekana umegoma kupasuka hata kwa baruti..chembechembe zako ni mchanganyiko wa chuma cha pua cha SGR na mwamba moto..hakuna tena ulaji kila mason anarudi mikono mitupu..utasikia "ahh narudi nyumbani"
 
  1. Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
  2. Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
  3. Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
  4. Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
  5. Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
  6. Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
  7. Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
  8. Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
  9. Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
  10. Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
  11. Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Nawasilisha.

Huyu mtu ni muoga sanaa, na amezoea vya bure na vya kutafuniwa. Hivyo basi, mikiki mikiki ya upinzani hawezi kabisa, na akienda upinzani basi atarudi chama dola kabla hata uchaguzi wenyewe wa 2020 kwisha, maana haitokuwa uchaguzi, bali ni ujambazi.
 
Back
Top Bottom