Wakuu,naomba tujadili.Kila mwaka maambukizi yanaongezeka licha ya elimu ya kutosha na utumiajia wa condoms.
Mbaya zaidi waathirika huwezi kuwajua kwa mwonekano kama zamani baada ya kuja kwa ARVs. Sasa je ni kweli Condoms zinasaidia?Najua humu jamvini kuna Madaktari,Watumiaji wenye uzoefu wa kutosha,wauzaji wa condoms,viongozi wa dini,watafiti,waelimishaji na wasiiamini condoms.
Je tunasemaje kuhusu uthabiti wa condoms?
Mbaya zaidi waathirika huwezi kuwajua kwa mwonekano kama zamani baada ya kuja kwa ARVs. Sasa je ni kweli Condoms zinasaidia?Najua humu jamvini kuna Madaktari,Watumiaji wenye uzoefu wa kutosha,wauzaji wa condoms,viongozi wa dini,watafiti,waelimishaji na wasiiamini condoms.
Je tunasemaje kuhusu uthabiti wa condoms?