demarine
Member
- Dec 6, 2020
- 18
- 29
Watu wengi ambao ni wafanyabiashara/wajasiriamali wamekua wakiusishwa/wakiamini kuwa ili kufanikiwa katika biashara itabidi ufanye ndumba kidogo ili mambo yaende sawa.
Leo naomba tupeane uzi juu ya ili kwamba ni je kuna ukweli wowote kwamba ili mtu afanikiwe yampasa kufanya ndumba au la...... Uwanja upo wazi tuwe wakweli ili tujue na wengine kama ndumba zinafaida tufanye...... MAWAZO YENU WAKUU.
Leo naomba tupeane uzi juu ya ili kwamba ni je kuna ukweli wowote kwamba ili mtu afanikiwe yampasa kufanya ndumba au la...... Uwanja upo wazi tuwe wakweli ili tujue na wengine kama ndumba zinafaida tufanye...... MAWAZO YENU WAKUU.