Katika hali ya uhalifu inayotokea kwa hivi sasa na hususani za ujambazi na agali za vyombo vyetu vya usafiri, je tunaweza kusema ni kushindwa kazi kwa jeshi letu la poilisi au wahalifu hutumia mbinu za kisasa zaidi? Mfano wa matukio ya hivi karibuni
Tukio la ujambazi la lililotokea taasisi ya elimu ambambo computer zaidi ya 70 na magari ya taasisi hiyo viliibiwa.
Tukio la ujambazi NMB Temeke ambampo watu kadhaa walijeruhiwa na aksari wa ulizi na wa jeshi la polisi walipoteza maisha
Tukio la ujambazi Africa sana petrol station
Tukio la ujambazi kwa sadala Hai mkoani Kilimanjaro ambapo askari mmoja alichomwa mkuki akidhaniwa ni jambazi.
Ajali iliyohusisha gari la JWTZ na FFU
Ajali ya Tanga hivi majuzi
Ajali iliyotokea karibu na Singida
Mioto ya TBL, Gase kigamboni DSM, Meli ya kwenda zanziba
N.K
Je hasa haya matukio ya ujambazi na ajali za barabarani, ni kushuka kwa ufanisi wa jeshi la police au wahalifu wamegundua mbinu mpya ya uhalifu?
Tafakari, Toa Maoni yako na Uchukue hatua
Tukio la ujambazi la lililotokea taasisi ya elimu ambambo computer zaidi ya 70 na magari ya taasisi hiyo viliibiwa.
Tukio la ujambazi NMB Temeke ambampo watu kadhaa walijeruhiwa na aksari wa ulizi na wa jeshi la polisi walipoteza maisha
Tukio la ujambazi Africa sana petrol station
Tukio la ujambazi kwa sadala Hai mkoani Kilimanjaro ambapo askari mmoja alichomwa mkuki akidhaniwa ni jambazi.
Ajali iliyohusisha gari la JWTZ na FFU
Ajali ya Tanga hivi majuzi
Ajali iliyotokea karibu na Singida
Mioto ya TBL, Gase kigamboni DSM, Meli ya kwenda zanziba
N.K
Je hasa haya matukio ya ujambazi na ajali za barabarani, ni kushuka kwa ufanisi wa jeshi la police au wahalifu wamegundua mbinu mpya ya uhalifu?
Tafakari, Toa Maoni yako na Uchukue hatua