Wana-JF naweza kupata modem za mwanzo za vodacom ambazo ni aina ya ZTE na sio hizi za sasa za huawei?
mkuu kuna siri gani ya hizi mordem hebu tudokeze mana hizi za sasa za vodacom E173 ni bora bora kuliko zile za ZTE K3570-Z kwanza kwa kuchakachua ni rahisi zaidi ya zile za ZTE mpaka utumie join air pili zina speed kubwa ya 7.2mbps zaidi ya zile ZTE zina 3.5mbps na zile kwa sasa zinapatikana mikononi tu kwa watu
mkuu kuna siri gani ya hizi mordem hebu tudokeze mana hizi za sasa za vodacom E173 ni bora bora kuliko zile za ZTE K3570-Z kwanza kwa kuchakachua ni rahisi zaidi ya zile za ZTE mpaka utumie join air pili zina speed kubwa ya 7.2mbps zaidi ya zile ZTE zina 3.5mbps na zile kwa sasa zinapatikana mikononi tu kwa watu
hivi hizi Huawei E173 na E303 zote za voda zina utofauti gani?
Tell me something Fatma,
Hivi sasa Tigo wametoa modem ambazo ni E173...na kwa muundo is almost the same as hizo za VodaE170, kasoro ni rangi tu...wakti ya voda ina Red Ribbon na ya Tigo ina Black Ribon.....!!! Unazani hata hizi za tigo zina ubora, in terms of speed the same as hizo za Voda?!
Ni urahisi wa bei, kuhusu speed nadhani hii hutegemea pia maeneo na coverage ya masafa ya mtandaohusika. Na kuhusu gharama za bundles hii sio issue kwani bei ni subjective to change.mkuu kuna siri gani ya hizi mordem hebu tudokeze mana hizi za sasa za vodacom E173 ni bora bora kuliko zile za ZTE K3570-Z kwanza kwa kuchakachua ni rahisi zaidi ya zile za ZTE mpaka utumie join air pili zina speed kubwa ya 7.2mbps zaidi ya zile ZTE zina 3.5mbps na zile kwa sasa zinapatikana mikononi tu kwa watu