Je, na umekuwa ukiipuzia taa ya tahadhali kwenye gari yako?

Shark naomba contact ya fundi ac...
Nimeona mahala umesema makofia wa Ilala jina kubwa na bei kubwa ila kuna mafundi wengi wazuri mitaani.
 
Shark naomba contact ya fundi ac...
Nimeona mahala umesema makofia wa Ilala jina kubwa na bei kubwa ila kuna mafundi wengi wazuri mitaani.
Makofia ilikuwa zamani. Siku hizi jina kubwa ameweka manyoka wanamharibia kazi .
Ac inahitaji fundi mfuatiliaji wa freon leakages, maana ndio tatizo kubwa kwenye Ac system. Ukimpata mfuatiliaji tatizo linaisha
 
Makofia ilikuwa zamani. Siku hizi jina kubwa ameweka manyoka wanamharibia kazi .
Ac inahitaji fundi mfuatiliaji wa freon leakages, maana ndio tatizo kubwa kwenye Ac system. Ukimpata mfuatiliaji tatizo linaisha
Taarifa nilizozipata makofia amefariki mwaka jana.
Kuna vijana tu hapo....
Kuna sehemu ndo nipo hapa anaangalia...
Ngoja nione
 
Makofia ilikuwa zamani. Siku hizi jina kubwa ameweka manyoka wanamharibia kazi .
Ac inahitaji fundi mfuatiliaji wa freon leakages, maana ndio tatizo kubwa kwenye Ac system. Ukimpata mfuatiliaji tatizo linaisha
Ila kuna gas nimeona kwa chrisfix zinaziba sehemu zote zinazovuja
 
Taarifa nilizozipata makofia amefariki mwaka jana.
Kuna vijana tu hapo....
Kuna sehemu ndo nipo hapa anaangalia...
Ngoja nione
Sikujua kama amefariki , lakini niltengeneza kama miaka 4 nyuma ye akiwa hai tayari aliachia vijana , na huduma Ilikuwa mbovu ajabu
 
Back
Top Bottom