BAGAH, kila mwanaume ana uzuri wake banaaa..
Anyway mwanaume wa ukweli ni yule anayenipenda kwa dhati, anayeniheshimu mimi na familia yangu, anayenijali na kunithamini, tunayesikilizana na mwenye uaminifu.....
Bila kusahau mwanaume msafi na mtafutaji....
Anayejua kuniappreciate....
Ambaye hasiti kunishika mkono na kuniongoza, mkweli na anayeniambia ukweli hata kama utaniuma........
Na anayejua kufunga zipu ya suruali yake....
We dogo Junior. Cux upo?????
naona umeanza vizuri...
hapo mwisho umesemaje tena bi dada?
BADILI TABIA umeanza vizuri mwishoni ukaharibu kabisa maana hata hiyo inamfanya mwanaume kuwa wa ukweli
BAGAH umesema kweli aise mavumba yanaweza kukufanya kuwa mwanaume ila sio mwanaume wa ukwli aise
ivi mavumba yanaweza kusimamisha uume eeh?
just curious
mwenye kifua kipana, alikwenda hewan na anayenijali internaly and externally. . .
sasa kwa mume wetu, mbona tumeingia chaka?BAGAH, kila mwanaume ana uzuri wake banaaa..
Anyway mwanaume wa ukweli ni yule anayenipenda kwa dhati, anayeniheshimu mimi na familia yangu, anayenijali na kunithamini, tunayesikilizana na mwenye uaminifu.....
Bila kusahau mwanaume msafi na mtafutaji....
Anayejua kuniappreciate....
Ambaye hasiti kunishika mkono na kuniongoza, mkweli na anayeniambia ukweli hata kama utaniuma........
Na anayejua kufunga zipu ya suruali yake....