Je, muda gani kiafya unaruhusiwa kutumia kilevi baada ya kutumia dawa?

Kwani ukisubiri afya yako ikatengemaa utakuwa umemkosea Mungu au kwani ukienda bar ukanywa maji au juisi ni dhambi jijali mkuu heshimu mwili wako usiendeshwe Na pombe tulia mkuu ata ukinywa Leo utakuwa Na wasi wasi hakuna burudani hapo
Thanks mkuu
 
Habari za usiku huu waungwana,

Mimi nauliza, mfano umekunywa dawa za malaria (malafin) halafu ukapitisha 24 hours ukataka upige japo 1 moto 1 baridi.

Je kutakuwa na tatizo?
Ukishakunywa dawa yoyote na hasa dawa nzito kama za Malaria, typhoid na nyingine, hupaswi kunywa kileo chochote ndani ya siku saba. Baadhi ya dawa zikichanganyikana na pombe hasa ndani ya masaa machache tangu umeze dawa, ila kikubwa ni kuwa kileo huathiri uwezo wa dawa kufanya kazi. Vumilia hayo mapombe yapo tu, utakunywa!
 
Habari za usiku huu waungwana,

Mimi nauliza, mfano umekunywa dawa za malaria (malafin) halafu ukapitisha 24 hours ukataka upige japo 1 moto 1 baridi.

Je kutakuwa na tatizo?

Baada ya siku tatu ndiyo unaweza piga keroro,ila unatakiwa upige maji ya kutosha not less than 3 litres per day.But kwa usalama zaidi unatakiwa kupiga masanga baada ya siku 7
 
ukishakunywa dawa yoyote na hasa dawa nzito kama za malaria, typhoid na nyingine, hupaswi kunywa kileo chochote ndani ya cku saba. baadhi ya dawa zikichanganyikana na pombe hasa ndani ya masaa machache tangu umeze dawa. ila kikubwa ni kuwa kileo huathiri uwezo wa dawa kufanya kazi. vumilia hayo mapombe yapo tu, utakunywa!
Okay thanks
 
Funda moja la ziada litakuumbua ohooo angalia haya mambo ya ONE FOR THE ROAD MABAYA SANA... BORA UKAUSHE MKUU
 
Malafin ni single dose...means hufanyaji kazi wake mwilini ni taratibu(extended release tablets) hapo ulipo dawa bado iko mwili ya kutosha huenda ikaisha baada ya week...wait kidgo
Halafu nikukumbushe malafin haitibu maralia nowdays ishakua sugu utashangaa baada ya mda malaria inakurudia tumia mseto (alu,duocotexin,artequick etc)
 
We niwaajabu sana ,unasema 24hrs?me nikinywaga dawa nakaa masaa ma2tu napiga vitu
 
Msaada wadau
Mfano ukimeza dawa ya malaria ile dosi ya siku moja.

Inategemea aina ya dawa na ufanyaji wa dawa katika mwili wako. Wataalam wanashauri baada ya kumaliza dosi basi siku 2 mpaka wiki moja.

Ni hivi katika mwili kuna kitu kinachoitwa Ini, Pamoja na kazi nyingine za Ini pia Ini utumika kusafisha damu/kuchuja damu na kuondoa sumu za aina mbalimbali kutegemeana na vitu ulivyokula.. Unapokunywa dawa basi zile dawa uenda katika Ini ili kuchunjwa na kusambazwa sehemu mbali mbali za mwili kwa njia ya damu. Sasa basi unapokunywa pombe mwili utambua pombe kama sumu, Hivyo Ini uacha kazi zote na uanza kupigana/kuchuja na hii sumu iliyoingia katika mwili. Kumbuka dawa uliyokunywa itawekwa pending kwanza kwa sababu mwili utambua Pombe kama sumu kali ambayo inatakiwa kutolewa kwanza kabla ya kuanza kuchuja dawa. Na dawa ikikaa pendig basi upoteza nguvu zake hivyo ufanya wadudu walikuwa waondolewa na hii dawa kuwa imara na kuzaliana zaidi au hata kuwa "sugu"kwa hii dawa.

Kwa maana nyingine ukimiza dawa na kunywa pombe ni kama hujameza dawa kwani dawa haitaingia katika mfumo wa damu bali itakaa isubiri mpaka Ini litapomalizana na Pombe na wakati huo dawa itakuwa imeishiwa makali yake.

Pia kuna dawa nyingine ukizimeza na kunywa pombe basi unahatarisha maisha yako kwani zinaweza kufanya mapingo ya moyo kwenda mbio, Moyo kufanya kazi hisivyo na hata kusababisha kifo.
 
Unaweza meza dawa na pombe sizan kama hazitapita kooni...cha msingi n kujiandaa kiroho na kimwil tu
 
Kiukweli me stress zahizi dawa za kizungu ndio zimenifanya nipende sana mitishamba.najichemshia mualovera namix muarobaiini na magome yake nakunywa grass moja asubuh moja jioni kwa week angalau siku tatu.magonjwa ya kizembekizembe siumwagi.nikumwa ujue nataka kutega kazini tu.

Ila midawa ya kutwa mara moja ogopa sana.yanakuaga sumu sana yale na yanakutoa povu on the spot.jitahidi angalau siku4-7 na kwa kuanzia anza na bia laini laini.

Usifakamie makonyagi na mabia aina ya balimi sjui eagle !!!tutakuzika.kua makini na dawa za mzungu kwan hazijawah kumuacha mtu salam...
 
Back
Top Bottom