Mch Rwakatare yule mwizi au? nipe cv yake...
alway love is a stolen barden. Bt huu wa kwako haujaifadhiwa mkuu. Jarib kumsahau uyo mwanamke kwan tayari hakupend tena. Majanga arifu
Mch Rwakatare yule mwizi au? nipe cv yake...
Now I know........ Nlikuwa najiuliza huyu ndio yule Magulumangu nnayemjua??
Naomba nikuulize....
Ni kwanini uliandikisha jina lake? Alikulazimisha?
Unahisi "maisha" ni nyumba? Kwamba mkiiuza mkagawana utakuwa umepata pigo kubwa maishani?
Kiukweli ndugu yangu, kama huyo mmama kakuonyesha "mwanaume" mwenzio anayemvua chupi ilhali akijua ameolewa. Na huyo "mwanaume" akathubutu kukubali kukutanishwa na wewe pasipo shaka wala woga..... Na mbele ya huyo mwanaume mkeo akakiri mbele yake kuwa anampenda...... Mwanaume yeyote mwenye "wivu na anayempenda" mkewe hicho kikao kisingeisha salama.
Kukaa kwako kimya kwenye dhalilisho kuu kuliko yote kwa mwanaume kumedhihirisha
1. Yawezekana na wewe humpendi mkeo kiviiiiile
2. Unamwogopa sana mkeo (Alishawahi kukudunda?) kiasi kwamba ulihisi ukilianzisha ungeadhirika zaidi.
3. Umekubali yaishe kwa kuwa huna cha kufanya..... (Na hili ndilo limekufanya uanzishe hii thread)
Kwa taarifa yako, mwanaume mwingine yoyote nikiwemo mie, yangetokea yaliyotokea kwako, kuna uwezekano:
1. Mkeo sasa hivi angekuwa mochware/hospitali
2. Mwizi wa mke angekuwa mochware/hospitali
3. Mwenye mke angekuwa mochware/hospitali/polisi(kwa kosa la mauaji au kusababisha maumivu makali sana kwenye miili ya binadamu).
Naomba wake zangu cacico, Yummy, BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho wasifike kusoma hii makitu. Mi sina roho mbaya kiviiiiile. Ngoja nimtafute Kaizer tukazimue. Hii sredi imeniuzi sana.
Umeona wifey eh?Asprin my hubby nakuunga mkono kwa asilimia 150!!!!
yaani ngemshughulikia mkewe na hawara ya mkewe wala asingejibiwa nyodo za kipuuzi hivi...... shusha kipondo heavy cha mbwa mwizi........ mkeo akitoka hapo atahakikisha akiwa na hawara hutomgundua kamwe......na dharau zitaisha...
tena mwambie wenzie nyumba wanaandikisha majina ya watoto na si mke....kama vipi wafuate taratibu za kisheria sijui wauze wagawane(heri nusu hasara kuliko hasara kamili) hapa loya rutashobolwa atatusaidia zaidi........
naona kama husaidiki vile,yaan una argument za kitoto,eti ana reflection ya marehemu mama,hakyanani huyo alishakuroga pia.Ngoja tuongee vitu vya msingi...Hivi Drogba ameshaenda Liverpool
If you love your wife set her free. If she comes back to you, she is yours, if she does not come back she was not meant to be yours!
Wana JF imekuwa ni muda sasa toka nipotee Jamvini hiyo ni life, I prefer not to say the reasons...Tatizo langu ambalo linasumbua kichwa changu kwa muda wa wiki mbili hivi sasa...nina mke toka miaka mitano sasa tumeoana, katika hili na lile akapata kazi MJI mwingine miezi miwili sasa na mie ikabidi nibanyumbani kumalizia mambo yangu then niungane nae, sasa siku nikaenda kumtembelea, siku ya kwanza tu nikaona tofauti machoni mwake na wasiwasi mwingi, kwanza simu yake tofauti na kawaida yake ikawa inafichwa sana hivo wasiwasi ukaniingia, nikaitafuta ilipo yeye akiwa amelala, kufungua tu nikakutana na Ujumbe "HEY SWEET I WILL BE LEAVING HOME TODAY, I MISS YOU ALREADY" nikamwita kwa upole na kumwambia nini hii? kawaida yangu huuliza kwa UPOLE, jibu nilolipa ni "NILIKUWA NASUBIRI NIJE HUKO ILI TUACHANE", kichwa kikaaloose control kabisa, niliumia sana, nikajaribu muuliza kama nimefanya kitu chochote kibaya, akasema hakuna ila niliekutana naye "HE IS DIFFERENT", nikawa mwanaume nikamwambia kwa miaka mitano sijawahi kuweka mkono kwake, sijawahi kumuwakia kwa lolote, na wala sitawahi kushout on her, basi nikamwambia twende kwa huyo jamaa ake mpye"THE DIFFERENT", bila aibu na kwa kujivuna jamaa akanijibu, "SHE IS BEAUTIFUL" I LOVE HER and I want to be with her, nilitaka kurusha ngumi lkn roho ikaniambia sio tabia yangu kukurupuka, nikamuuliza WIFE, unataka kuwa na mimi jibu lake ni "I DON"T KNOW", unataka kuwa na jamaa? jibu "KAKAA KIMYA", siku ilofuata nikarudi nae nyumbani, kila akipata mwanya anamwandikia jamaa sms, na jamaa anapiga simu any time he feels to..Alijaribu hata kunitukana kwa simu, lkn we differ in levels..jamani Mke wangu karudi kazini, hapa nilipo jana tu alikutana na jamaa,nimemwambia aache kazi hataki...najua kila mtu atalichulia hili kitofauti, lkn nampenda mke wangu, je, should I let it go? Sijafikiria kutarakiana maishani mwangu, CV ya maisha yangu itaharibika....naomba ushauri wenu...
mkuu two weeeks sasa nafikiria cha kufanya, kupiga chini sio tatizo so what next, kupenda kwingine...hell no
Huyu dogo nikiunganisha dots naona katoswa na kademu kake ambako kalikua kanamhonga ela ambako pengine alidhani wataja kuoana ili apate mteremko. Sa nadhani kitumbua kimeingia mchanga ndio anakuja kufichaficha hapa na lelele nyiingi..ukiisoma tu hii 'hadithi' you will find a lot of inconsistencies hata kama ingekua post yake ya kwanza....Mhhhh! inawezekana Mkuu! Ngoja aamke aje anyooshe hii habari kama ni hadithi hadithi, hadithi njoo... au ni ya ukweli kabisa.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-nimekipata-kigori-wenye-wivu-jinyongeni.html
Hili tatizo si lako peke yako kaka ...ni la wanaume wengi wenye wake wa kung'ang'ania na kuganda.
Mi watu wakijishebedua humu kuwa as long as una pesa unaweza pata mwanamke yeyote nachekaga sana.
Hiyo strategy ina work kwa muda mfupi sana...baada ya muda mke anajuta kilichomtumbukiza kwenye ndoa iso na penzi...ndo cheating inaanza tena kwa mwendo wa hasira. Maana kama alikuwa anashobokea magari akiendesha mwaka anaanza kuyaona ya kawaida saaana. Kama ni nyumba the same. Kitu ukiwa huna unaona cha thamani, then ukiwa nacho unashangaa kilichokuwa kinakuzuzua ni nini.
Hakikisheni mnaoa kwa mapenzi si kutumia noti. Shaulilenu.
Umeona wifey eh?
Kila siku nawaambiaga watu kuwa infidelity is inevitable lakini watu wananiona sijui mie chizi? na huwa nawashaurigi kwa kuwa hii makitu siku hizi hayakwepeki basi watu wacheat responsibly.... Ukiona mtu anacheat mpaka anakuonyesha live ujue huyu kishakuchoka na ameamua sasa basi, liwalo na liwe. Ni kama ntakavyomchukulia Yummy hatua kali muda si mrefu. Kila siku namwona anajiita Mrs. Mr Rocky afu tena ye ni mke mwenza wa Dena Amsi. Muda si mrafu napiga chini afu natafuta kifaa kingine niombe kibali kwenu niwowe. Mbona we unanicheat lakini sijui bana!
Wana JF imekuwa ni muda sasa toka nipotee Jamvini hiyo ni life, I prefer not to say the reasons...Tatizo langu ambalo linasumbua kichwa changu kwa muda wa wiki mbili hivi sasa...nina mke toka miaka mitano sasa tumeoana, katika hili na lile akapata kazi MJI mwingine miezi miwili sasa na mie ikabidi nibanyumbani kumalizia mambo yangu then niungane nae, sasa siku nikaenda kumtembelea, siku ya kwanza tu nikaona tofauti machoni mwake na wasiwasi mwingi, kwanza simu yake tofauti na kawaida yake ikawa inafichwa sana hivo wasiwasi ukaniingia, nikaitafuta ilipo yeye akiwa amelala, kufungua tu nikakutana na Ujumbe "HEY SWEET I WILL BE LEAVING HOME TODAY, I MISS YOU ALREADY" nikamwita kwa upole na kumwambia nini hii? kawaida yangu huuliza kwa UPOLE, jibu nilolipa ni "NILIKUWA NASUBIRI NIJE HUKO ILI TUACHANE", kichwa kikaaloose control kabisa, niliumia sana, nikajaribu muuliza kama nimefanya kitu chochote kibaya, akasema hakuna ila niliekutana naye "HE IS DIFFERENT", nikawa mwanaume nikamwambia kwa miaka mitano sijawahi kuweka mkono kwake, sijawahi kumuwakia kwa lolote, na wala sitawahi kushout on her, basi nikamwambia twende kwa huyo jamaa ake mpye"THE DIFFERENT", bila aibu na kwa kujivuna jamaa akanijibu, "SHE IS BEAUTIFUL" I LOVE HER and I want to be with her, nilitaka kurusha ngumi lkn roho ikaniambia sio tabia yangu kukurupuka, nikamuuliza WIFE, unataka kuwa na mimi jibu lake ni "I DON"T KNOW", unataka kuwa na jamaa? jibu "KAKAA KIMYA", siku ilofuata nikarudi nae nyumbani, kila akipata mwanya anamwandikia jamaa sms, na jamaa anapiga simu any time he feels to..Alijaribu hata kunitukana kwa simu, lkn we differ in levels..jamani Mke wangu karudi kazini, hapa nilipo jana tu alikutana na jamaa,nimemwambia aache kazi hataki...najua kila mtu atalichulia hili kitofauti, lkn nampenda mke wangu, je, should I let it go? Sijafikiria kutarakiana maishani mwangu, CV ya maisha yangu itaharibika....naomba ushauri wenu...
alidivorce princess diana (rip) itakuwa wewe???
Chuo kikuu ya sasa haina toauti na Zanaki na Jangwani secondary