Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwanini dada zetu hupenda kuhongwa na muda mwingine unakuta ana kazi na kipato cha kujitosheleza lakini hwaridhiki.Nini tatizo wana jamii forums.
Kwasababu ni asili ya mwanaume kutoa na ya mwanamke kutoa. Angalia hata siku mwanamke akitaka kulipa bill or kitu chochote wakiwa na mwanaume, atampa mwanaume hela alipe. Wanamke yupo radhi akupe hela yake halafu umrudishie kwa kumhonga.
Tumeambiwa tutawatawala kwa hiyo hayo mambo kiasilia yako hivyo ila hapo nazungumzia kama ni wife ila kwenye uchumba na mengineyo sijui sasa,,,,,,,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.