Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Hivi inawezekana kumbatiza mtoto wa nje ya ndoa???? Kwa mfano Mimi na single mother wangu tunaweza kwenda kumbatiza mtoto ambaye tumemzaa bila kufunga ndoa?????
Hivi inawezekana kumbatiza mtoto wa nje ya ndoa???? Kwa mfano Mimi na single mother wangu tunaweza kwenda kumbatiza mtoto ambaye tumemzaa bila kufunga ndoa?????
Baada ya kurudi kundini ndo mnafunga ndoa au????Inawezekana ila mnatakiwa mrudi kundini kwanza
Kkkt
Ndio kama huyo ni mtoto wenu wa kwanza au wa pili kwa wakatoliki. Kule wanauliza mmefunga ndo? Je huyu ni mtoto wenu wa ngapi? Ukishindwa kumbatiza sasa angali mtoto unasubiri mtoto akifikisha miaka kumi na kitu anaenda kubatizwa mwenyewe na kupewa sakramenti za ubatizo, komunio ya kwanza na kipaimara siku moja. Nayo hii ya pili sio ajabu kwani historia inaoneshwa wakristo wakatoliki walikuwa wanabatizwa wakiwa watu wazima hadi karne ya tatu ndio kanisa likaanza kubatiza watoto kwa mashariti yabkuwa na wasimamizi wa ubatizo au walezi wa kiimani na pia wazazi lazima wawe watu wa imani kama mtu anabatizwa akiwa mtoto. Pia kama mambo magumu mtoto akikaribia kufa kabla hajabatizwa basi katekisimu katoliki inasema kanisa linaruhusu mtu yeyote hata asiyekuwa mkristo anaweza kumbatiza mgonjwa afe akiwa mkristo alietubu. Mwisho nakukumbusha yapo makanisa mengi ya kipentekoste hubatiza waumini hadi wanapokuwa watu wazima wanajitambua. Yesu mwenyewe alibatizwa akiwa mtu mzima na Yohane Mbatizaji.Hivi inawezekana kumbatiza mtoto wa nje ya ndoa???? Kwa mfano Mimi na single mother wangu tunaweza kwenda kumbatiza mtoto ambaye tumemzaa bila kufunga ndoa?????
mstari wa7 kutoka chini umeongopa!Ndio kama huyo ni mtoto wenu wa kwanza au wa pili kwa wakatoliki. Kule wanauliza mmefunga ndo? Je huyu ni mtomto wenu wa nagapi? Ukishindwa unasubiri mtoto akifikisha miaka kumi na kitu anenda kubatizwa mwenyewe na kupewa sakramenti zote. Nayo hii ya pili sio ajabu kwani historia inaoneshwa wakristo wakatoliki walikuwa wanabatizwa wakiwa watu wazima hadi karne ya tatu ndio kanisa likaanza kubatiza watoto kwa mashariti yabkuwa na wasimamizi wa ubatizo au walezi wa kiimani na pia wazazi lazima wawe watu wa imani kama mtu anabatizwa akiwa mtoto. Pia kama mambo magumu mtoto akikaribia kufa kabla hajabatizwa basi katekisimu katoliki inasema kanisa linaruhusu mtu yeyote hata asiyekuwa mkristo anaweza kumbatiza mgonjwa afe akiwa mkristo alietubu. Mwisho nakukumbusha yapo makanisa mengi ya kipentekoste hubatiza waumini hadi wanapokuwa watu wazima wanajitambua. Yesu mwenyewe alibatizwa akiwa mtu mzima na Yohane Mbatizaji.
NB: Funga ndoa acha uzinzi na michepuko.
Mtoto ana batizwa tu sio lazima wazazi wafunge ndoa.Hivi inawezekana kumbatiza mtoto wa nje ya ndoa???? Kwa mfano Mimi na single mother wangu tunaweza kwenda kumbatiza mtoto ambaye tumemzaa bila kufunga ndoa?????
Nashukuru kwa kunikosoa. Naomba utolee maelezo zaidi tujifunze wengi tufaidike zaidi.mstari wa7 kutoka chini umeongopa!
Mkuu quote huo mstari kisha weka melezo kusahihisha ili watu wengi wasipotoke kwa maelezo yangu.mstari wa7 kutoka chini umeongopa!
sasa muislam /budha n.k(asiye mkristo) anambatizaje mkristo?,katekisimu gan uliyosoma wewe hiyo hebu weka hapaNdio kama huyo ni mtoto wenu wa kwanza au wa pili kwa wakatoliki. Kule wanauliza mmefunga ndo? Je huyu ni mtoto wenu wa ngapi? Ukishindwa kumbatiza sasa angali mtoto unasubiri mtoto akifikisha miaka kumi na kitu anaenda kubatizwa mwenyewe na kupewa sakramenti za ubatizo, komunio ya kwanza na kipaimara siku moja. Nayo hii ya pili sio ajabu kwani historia inaoneshwa wakristo wakatoliki walikuwa wanabatizwa wakiwa watu wazima hadi karne ya tatu ndio kanisa likaanza kubatiza watoto kwa mashariti yabkuwa na wasimamizi wa ubatizo au walezi wa kiimani na pia wazazi lazima wawe watu wa imani kama mtu anabatizwa akiwa mtoto. Pia kama mambo magumu mtoto akikaribia kufa kabla hajabatizwa basi katekisimu katoliki inasema
kanisa linaruhusu mtu yeyote hata asiyekuwa mkristo anaweza kumbatiza mgonjwa afe akiwa mkristo alietubu.
Mkuu kama hoja yenyewe ndio hii wala sijakosea. Kwanza tafuta uzi humu kuna mdau analipongeza kanisa katoliki la huko Arusha kwa kukataa kumzika tajiri wa Naura Springs na Impala hoteli. Mdau kalizungumzia hili jambo kwa urefu. Pili mimi ninacho kitabu kidogo kinacho zungumzia kuhusu ubatizo wa watoto. Na tatu kama unao muda kasome katekism kamili sio kile kitabu kidogo ulichopewa wakati unasoma mafundisho. Kile ni summery tu ya katekism yenyewe ambayo ni kitabu kikubwa hasa page zaidi ya 300. Nne pitia hii link hapo chini:sasa muislam /budha n.k(asiye mkristo) anambatizaje mkristo?,katekisimu gan uliyosoma wewe hiyo hebu weka hapa
Ndo maana nasemaga Catholics are not Christians. Kwa imani yangu Ubatizo unamaana kubwa sana kwa Mkristo, sio swala rahisi rahisi kama wanavyofanya hawa waroma. Kanisa la roma nimebadilisha misingi mingi ya bibilia ili kuendana na matakwa yao ndo maana mambo mengi wanafanya kutokana na vitabu vyao tofauti na bibilia. Swala la kubatiza watoto halipo popote kwenye bibilia au swala la kubatiza mgonjwa kabla hajafa ili awe mkristo halipo kwenye bibilia.Mkuu kama hoja yenyewe ndio hii wala sijakosea. Kwanza tafuta uzi humu kuna mdau analipongeza kanisa katoliki la huko Arusha kwa kukataa kumzika tajiri wa Naura Springs na Impala hoteli. Mdau kalizungumzia hili jambo kwa urefu. Pili mimi ninacho kitabu kidogo kinacho zungumzia kuhusu ubatizo wa watoto. Na tatu kama unao muda kasome katekism kamili sio kile kitabu kidogo ulichopewa wakati unasoma mafundisho. Kile ni summery tu ya katekism yenyewe ambayo ni kitabu kikubwa hasa page zaidi ya 300. Nne pitia hii link hapo chini:
Can only Christians administer baptism? | Catholic Answers.
Maelezo ya hiyo link yapo kama ifuatavyo
Full Question
Can only Christians administer baptism?
Answer
No. Anybody—even an atheist—can administer baptism if he has the proper intention. According to the Catechism of the Catholic Church (CCC 1256) "the intention required is to will to do what the Church does when she baptizes, and to apply the Trinitarian baptismal formula." The reason anybody can baptize is that it is, in fact, Jesus Christ who performs the baptism. Once again, baptism is God’s grace to us, not our work for him.
Nenda kafunge ndoa acha uzinzi kijana...!!!!Hivi inawezekana kumbatiza mtoto wa nje ya ndoa???? Kwa mfano Mimi na single mother wangu tunaweza kwenda kumbatiza mtoto ambaye tumemzaa bila kufunga ndoa?????
Ngoja nipite dini hizi zinaadhibu hadi watoto!!! Waislamu anaitwa mwanaharamu na upande wa pili hatakiwi hata kubatizwa!
Ndoa ndoanoooNenda kafunge ndoa acha uzinzi kijana...!!!!
Hayo ni maneno yenu waswahili kuhalalisha uzinzi wenu lkn kwenye bible hayapo.Ndoa ndoanooo
Mkuu nakuongezea maarifa. Ninayo katekismu yenyewe nimekupigia picha uone kama kiingereza kina shida nitakutafutia kwa kiswahili. Ona picha za kama ushahidi uliodai.sasa muislam /budha n.k(asiye mkristo) anambatizaje mkristo?,katekisimu gan uliyosoma wewe hiyo hebu weka hapa