Je kwa microsoft kutoa windows 8, ataweza mfunika mac

Zipo virus za Mac, ila waandishi wa virus hawapendi kuandika virus za Mac kwasababu uwezekano wa virus kuspread ni mdogo sana kwa sababu Mac ina asilimia ndogo sana la soko, point ya virus ni kuspread hakuna maana ya kuandika virus kwa system usiyotumika.

Antivirus inategemea unatumia ipi, Norton ni slow vibaya sana, Microsoft Security Essentials(Bure) hauwezi kunotice kabisa kuwa inarun iko light sana, so tumia hiyo.

Mimi nina Acer ya under $1000 na haicrash hata siku moja, utakua unakosea somewhere aka "User Error".
utumiaji wangu wa mac kwa miaka zaidi ya mitatu sasa sijawahi ona habari yoyote ya virus ni kama miezi mmitatu iliyopita kulikuwa na kahadisi ka malware MACDEFENDER ambayo ilikuwa pia ni sio raisi kwawatu kujirun kwa komputer mpaka mtu airuhusu kwa kuweka password yake. Na kwavile watu wanaotumia mac wanajua hakuna malware haikuwa raisi kuingia mkenge lakini apple wameshatoa udate siyo tatizo tena. kitukingine labda haujui watu wengi wanaotumia mac ni wenye hela sana kama mimi ninekuwa nataka wizi basi ningetengeneza virus wa mac na ningeibia hao hata nikimpata mmoja kuna uwezo akawa tajiri sana inalipa. lakini windos unatengeneza viruses zinawapata walalahoi tuu hakuna faida zaidi ya kucrush komputer zao.
 
kuwa na mac haimaanishi matajiri, mbona waTz wenfi wana simu kali lakini maskini? Pia kuwa na pesa haimaanishi wana credit card!
 
Mkuu soko la Mac ni kubwa sana kwa nchi zilizoendelea. Fanya utafiti vizuri.
Zipo virus za Mac, ila waandishi wa virus hawapendi kuandika virus za Mac kwasababu uwezekano wa virus kuspread ni mdogo sana kwa sababu Mac ina asilimia ndogo sana la soko, point ya virus ni kuspread hakuna maana ya kuandika virus kwa system usiyotumika.

Antivirus inategemea unatumia ipi, Norton ni slow vibaya sana, Microsoft Security Essentials(Bure) hauwezi kunotice kabisa kuwa inarun iko light sana, so tumia hiyo.

Mimi nina Acer ya under $1000 na haicrash hata siku moja, utakua unakosea somewhere aka "User Error".
 
kuwa na mac haimaanishi matajiri, mbona waTz wenfi wana simu kali lakini maskini? Pia kuwa na pesa haimaanishi wana credit card!
Mac product hununui vichochoroni na kushushiana bei nenda shopaz plaza uone bei yake alafu tumia akili yako ufikiriee watuwangapi bongo wanaweza nunua Kama huna kazi ya maana na kukuingizia kipato kilichoenda shule. Pia niambie Kama waweza kuta Mac computers zipo kariakoo zimebanana Kama mafungu na zile unazopata Kariakoo. Kama haujui quality Hapo ndo utajua
 
Mac product hununui vichochoroni na kushushiana bei nenda shopaz plaza uone bei yake alafu tumia akili yako ufikiriee watuwangapi bongo wanaweza nunua Kama huna kazi ya maana na kukuingizia kipato kilichoenda shule. Pia niambie Kama waweza kuta Mac computers zipo kariakoo zimebanana Kama mafungu na zile unazopata Kariakoo. Kama haujui quality Hapo ndo utajua

Wewe kwako
  • quality ni bei ghali ?
  • Quality ni uadimu wa kitu ?

Nakushauri soma concept nzimaya neno quality . usichanganye mambo.Na ukisema vichochoroni ndio wapi.????? Wakati wewe unaona shopaz plaza sio kichchoroni mtu kama bhakheresa inawezekana hajawai kufika pale so kwakwe ni kichochorni . "Shopaz plaz" yako wewe ndio kkoo ya mwingine. Na ndio Maana zipo hata Computer za windows amabzo zinazidi gharama kompyuta za MAC.....

Wajapan waliwapiga bao waingereza kwenye sekta ya Automation sabau ya concepts kama Total Quality management.( TQM). Sio quality ya kizamani waingereza waliyokomaa nayo.
 
Mac product hununui vichochoroni na kushushiana bei nenda shopaz plaza uone bei yake alafu tumia akili yako ufikiriee watuwangapi bongo wanaweza nunua Kama huna kazi ya maana na kukuingizia kipato kilichoenda shule. Pia niambie Kama waweza kuta Mac computers zipo kariakoo zimebanana Kama mafungu na zile unazopata Kariakoo. Kama haujui quality Hapo ndo utajua
<br />
<br />

Apple are a very clever company when it comes to marketing, wana-technics nyingi sana za kutangaza products zao na kuzifanya zionekane the best kwenye market...and price zake zinakuwa juu because wame-specialize in making high end devices only (maybe with the exception of ipods ambazo zina variants nyingi touch,nano,classic) tofauti na other companies ambao wanafocus to satisfy different types of users(e.g simu za apple ni iphone only which are very expensive while nokia wanatengeneza from nokia 1100 to nokia n8) ndio maana its more likely kukuta nokia zimepangana kwenye maduka ya uchochoroni....the same goes for laptops kaangalie bei na specification za dell-alienware gaming laptops,hp envy laptops,toshiba qosmio...some of them zipo more expensive than the highest-end macs you can get and I doubt kama hizo laptop utazikuta hata hapo shoppers plaza now imagine hizi companies zingeamua to-specialize in making only high-end laptops watu wangapi wangethubutu kununua laptops.
 
Wewe kwako
  • quality ni bei ghali ?
  • Quality ni uadimu wa kitu ?

Nakushauri soma concept nzimaya neno quality . usichanganye mambo.Na ukisema vichochoroni ndio wapi.????? Wakati wewe unaona shopaz plaza sio kichchoroni mtu kama
bhakheresa inawezekana hajawai kufika pale so kwakwe ni kichochorni . "Shopaz plaz" yako wewe ndio kkoo ya mwingine. Na ndio Maana zipo hata Computer za windows amabzo zinazidi gharama kompyuta za MAC.....

Wajapan waliwapiga bao waingereza kwenye sekta ya Automation sabau ya concepts kama Total Quality management.( TQM). Sio quality ya kizamani waingereza waliyokomaa nayo.
Hapo kwenye blue unajua unachoongea au unaropoka tuu&#8230;&#8230; TQM ndo Apples windows biashara nivichochoroni tuu hakuna quality kila mtu anachokochoa ilimradi aingize ela kutoka kwa masikini. ndo maana unauziwa vi netbook vya dola 200 vya windows na baada ya week 1 kimekufa. Apple hawana huo uchafu kumputa hata ikifa wanakupa mpya kureplace hiyo ndo TQM nayoijua. Hiyo ya windows wao wanalices kwa macampuni na quality inashuka. kama unasheha kwa microsoft uza nunua za apple utafurai mwenyewe miaka ijayo.
 
<br />
<br />

Apple are a very clever company when it comes to marketing, wana-technics nyingi sana za kutangaza products zao na kuzifanya zionekane the best kwenye market...and price zake zinakuwa juu because wame-specialize in making high end devices only (maybe with the exception of ipods ambazo zina variants nyingi touch,nano,classic) tofauti na other companies ambao wanafocus to satisfy different types of users(e.g simu za apple ni iphone only which are very expensive while nokia wanatengeneza from nokia 1100 to nokia n8) ndio maana its more likely kukuta nokia zimepangana kwenye maduka ya uchochoroni....the same goes for laptops kaangalie bei na specification za dell-alienware gaming laptops,hp envy laptops,toshiba qosmio...some of them zipo more expensive than the highest-end macs you can get and I doubt kama hizo laptop utazikuta hata hapo shoppers plaza now imagine hizi companies zingeamua to-specialize in making only high-end laptops watu wangapi wangethubutu kununua laptops.

Hapo umenena hao jamaa they are just best in maketting. Kuna hata watu wengi wanadhani iphone ndio kampun ya kwanza kutengenza touch screen phone wakati hata bofore iphone kuna product za wakorea na Hp kama ipaq smartphone zilikuwepo sokoni.

Kwenye technical issue wana strengths. na mapungufu mengi tu. kama players wengine kwenye game. .

Kuna technique moja ya kutangaza future product yao ya iphone walisema engineer aliisahu simu bar.. Ikawa kama siri amabyo hawakutaka watu wajue imefichuka kumbe ndio walikuwa wanaaanza kuwatarisha watu waandae bajeti ya kuamuliwa mshiko. Thye are best in marketting
 
<br />
<br />

Apple are a very clever company when it comes to marketing, wana-technics nyingi sana za kutangaza products zao na kuzifanya zionekane the best kwenye market...and price zake zinakuwa juu because wame-specialize in making high end devices only (maybe with the exception of ipods ambazo zina variants nyingi touch,nano,classic) tofauti na other companies ambao wanafocus to satisfy different types of users(e.g simu za apple ni iphone only which are very expensive while nokia wanatengeneza from nokia 1100 to nokia n8) ndio maana its more likely kukuta nokia zimepangana kwenye maduka ya uchochoroni....the same goes for laptops kaangalie bei na specification za dell-alienware gaming laptops,hp envy laptops,toshiba qosmio...some of them zipo more expensive than the highest-end macs you can get and I doubt kama hizo laptop utazikuta hata hapo shoppers plaza now imagine hizi companies zingeamua to-specialize in making only high-end laptops watu wangapi wangethubutu kununua laptops.
Wewe unazani hawataki profits kama za apple kamwe hawawezi kuwa level ya apple wao wapo innovative tok a mwanzo wa personal computers hawajaanza mwaka juzi. Makampuni mengine hayana uvumbuzi wamebakia kufuata mkumbo ndomaana windos inatawala kila kona naniei raise soho limejaa mawindows na nimabomu tuu tok a w95 mpaka mwakani w8 hakuna improvement bado tunapigana na miviruses na system kucrashi tuu tunapoteza mda nazo sana. Nachukia sans window kwavile natumia kazini lazima da we ache tuuu halafu mtu anaemia hiyo nod total quality management no wonder HP wamemwaga manyanga
 
Hapo umenena hao jamaa they are just best in maketting. Kuna hata watu wengi wanadhani iphone ndio kampun ya kwanza kutengenza touch screen phone wakati hata bofore iphone kuna product za wakorea na Hp kama ipaq smartphone zilikuwepo sokoni.

Kwenye technical issue wana strengths. na mapungufu mengi tu. kama players wengine kwenye game. .

Kuna technique moja ya kutangaza future product yao ya iphone walisema engineer aliisahu simu bar.. Ikawa kama siri amabyo hawakutaka watu wajue imefichuka kumbe ndio walikuwa wanaaanza kuwatarisha watu waandae bajeti ya kuamuliwa mshiko. Thye are best in marketting
Kusahau simu baa pia ni marketing kuongeza hype kwa vile iphone chama kubwa ingekuwa sijui nokia wangetupa kwa jalala bila hata kushangaa manake zinakuwaga kama vikorokoro vya watoto kuchezea
 
Hapo kwenye blue unajua unachoongea au unaropoka tuu&#8230;&#8230; TQM ndo Apples windows biashara nivichochoroni tuu hakuna quality kila mtu anachokochoa ilimradi aingize ela kutoka kwa masikini. ndo maana unauziwa vi netbook vya dola 200 vya windows na baada ya week 1 kimekufa. Apple hawana huo uchafu kumputa hata ikifa wanakupa mpya kureplace hiyo ndo TQM nayoijua. Hiyo ya windows wao wanalices kwa macampuni na quality inashuka. kama unasheha kwa microsoft uza nunua za apple utafurai mwenyewe miaka ijayo.

Ndio nakumbia wewe usidhani kununua MAC Plaza ndi quality. Elewa concept nzimaya quality. Nimekupa mfano wa TQM ujue maanaya quality. Sasa wewe kuandika MAC kuuzwa plaza au windows kuuzwa kkoo hapo relationya quality. ni nini pesa ??????

Kama kompyuta ya MAC ikifa wanakupa nyingine maana yake umenunua komyuta na kulipia insurance. it tell kwanini inakuwa overpiced sio sabbau ya quality unayosema

Alafu sasa umehama kwenye bei unasema komyuta ikifawanakupanyingine hivyondio vigezo ungetaja lakinihizpopolicy zipo hata branaz za windows zinazo.

Kwa style hiyo wewe unaweza kuibiwa kamam MAC wakinunua OS ya windows 8 na kuendlea kutumia label ya MAC madukani.Wewe unaoneka unaunanuanua bei sio bidhaaaa.

Umepewa mifano juu kuna komyuta za ASUS na brand nyngine zina run windows hata hapo Plaza wala KKO unayotaja hazipo.Utasemaje?

Samahani nitaendelea kuropoka mkuu na kuelezea kile ninachojua teh teh teh . Wewe endela kumwaga busara
 
I wish kama mwenzako kama umeshapata atakuwa anapata hii special love kama Mac brand wanavyoi enjoy ;)
 
when u will beback nitapenda kujua model na specs za MAC unayotumia
I have two macs ninayo macbook ya 2009 2.26ghz core 2 duo ,4bg ram na 250gb na macbook pro 2.4 ghz mid 2010 core 2 duo ,4bgram na 250gb zote ni zile za base mode ambazo ndio bei raisi kweye hiyo familia ya mac. pia ninayo sony avio na asus netbook hazijawahi nipa tatizo zaidi ya mozila kucrashi mara kwa mara ambayo ni kawaida to most expert users wa windows kila mtu ninaye mjua hili ni tatizo kubwa. Halafu kila baada ya miezi sita tunareistal windows ili computer iwe faster. Hili tatizo halipo kwa mac zinarun smooth sana hakuna hata haja ya kuzima computer kwa miezi kazaa. nikitumia windows sana lazima nirestart marakazaa iliifanye kazi vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom