Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,819
- 3,492
Mtu haumwi homa yoyote ya kuonekana.
Hana tatizo la afya ya akili (Ukichaa).
Anafanya kazi zake vema tu.
Sio mgomvi/mkorofi
Anajihisi huru mwenye raha na furaha anapokuwa yuko mwenyewe "alone"
Je mtu kama huyo yuko sawa au ana shida ya namna yoyote ile inayohitaji matibabu?
Hana tatizo la afya ya akili (Ukichaa).
Anafanya kazi zake vema tu.
Sio mgomvi/mkorofi
Anajihisi huru mwenye raha na furaha anapokuwa yuko mwenyewe "alone"
Je mtu kama huyo yuko sawa au ana shida ya namna yoyote ile inayohitaji matibabu?