MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wapenzi wa JF, kwa heshima na taadhima ninawasalimu wote.
Nimejikuta ninawaza jinsi mimi kama mtoto wa kike ndani ya familia yetu ambaye nina majukumu ya not only to take care of my own family i.e. mwanangu kipenzi pamoja na familia ya wazazi wangu i.e. wazee na wadogo zangu- by the way mimi ni mzaliwa wa kwanza kwetu).
Nimejikuta nikitingwa na mawazo ya umuhimu wa sisi wazazi wa leo (wote wake kwa waume) kung'ang'ania kutafuta au kupata mtoto wa kiume kwanza (Ingawa hali hii inaanza kidogo kubadilika now days but to many families it is an issue).
Nahisi inakuwa na logic sana iwapo wazazi mna jiwweza na mnabiashara ambazo mna uhakika kuwa mtoto wa kiume tu ndiye atakayeweza kuziendeleza i.e. kwa kuwa yeye huwa haondoki kwenye familia- akioa anaongeza familia na si kupunguza kama mtoto wa kike.
Lakini najiuliza iwapo mzazi/wazazi hawana asset yoyote ambayo wanahisi wanawezakumrithisha mtoto wa kiume kwa manufaa ya familia hapo baadae. Experience imeonyesha kuwa watoto wa kiume huwa wana attachment ndogo sana kwa wazazi wao (especially pale wanapoanza kujijengea familia zao) kuliko watoto wa kike. Watoto wa kike wanatend kujali wazazi zaidi ya wale wa kiume...........
Je kuna umuhimu bado wa kukazania mtoto wa kiume? Yaani je bado kina mama tunastahesabiwa wanawake wa shoka kama tunauzao mkubwa wa watoto wa kiume zaidi ya wa kike?? Je nafasi ya mtoto wa Kike hasa katika kumwendeleza kielimu inastahili kupuuzwa?
Ninajiuliza sipati jibu, ninakuomba msaada ewe kaka, dada, baba na mama, mjomba, shangazi, Babu na bibi yangu......
Aksanteni, karibu tuchangie........
Nimejikuta ninawaza jinsi mimi kama mtoto wa kike ndani ya familia yetu ambaye nina majukumu ya not only to take care of my own family i.e. mwanangu kipenzi pamoja na familia ya wazazi wangu i.e. wazee na wadogo zangu- by the way mimi ni mzaliwa wa kwanza kwetu).
Nimejikuta nikitingwa na mawazo ya umuhimu wa sisi wazazi wa leo (wote wake kwa waume) kung'ang'ania kutafuta au kupata mtoto wa kiume kwanza (Ingawa hali hii inaanza kidogo kubadilika now days but to many families it is an issue).
Nahisi inakuwa na logic sana iwapo wazazi mna jiwweza na mnabiashara ambazo mna uhakika kuwa mtoto wa kiume tu ndiye atakayeweza kuziendeleza i.e. kwa kuwa yeye huwa haondoki kwenye familia- akioa anaongeza familia na si kupunguza kama mtoto wa kike.
Lakini najiuliza iwapo mzazi/wazazi hawana asset yoyote ambayo wanahisi wanawezakumrithisha mtoto wa kiume kwa manufaa ya familia hapo baadae. Experience imeonyesha kuwa watoto wa kiume huwa wana attachment ndogo sana kwa wazazi wao (especially pale wanapoanza kujijengea familia zao) kuliko watoto wa kike. Watoto wa kike wanatend kujali wazazi zaidi ya wale wa kiume...........
Je kuna umuhimu bado wa kukazania mtoto wa kiume? Yaani je bado kina mama tunastahesabiwa wanawake wa shoka kama tunauzao mkubwa wa watoto wa kiume zaidi ya wa kike?? Je nafasi ya mtoto wa Kike hasa katika kumwendeleza kielimu inastahili kupuuzwa?
Ninajiuliza sipati jibu, ninakuomba msaada ewe kaka, dada, baba na mama, mjomba, shangazi, Babu na bibi yangu......
Aksanteni, karibu tuchangie........