Ni kweli kabisa anachokwambia.
Kama unapenda kuweka kwenye sehemu hebu ni pm nikutafutie kitu cha kuweka juu ya laptop yako kujikinga na wife anachosema,kaka ni kwamba laptop ina mionzi ya aina fulani ambayo itaku affect baadae,shukuru mama kakueleza ukweli,wewe unataka kuwa mjeuri,huyo mke wako anakupenda sana na anajali mali zake big up kaka!Kuna maelezo ya kitaalam mkuu??
Kama unapenda kuweka kwenye sehemu hebu ni pm nikutafutie kitu cha kuweka juu ya laptop yako kujikinga na wife anachosema,kaka ni kwamba laptop ina mionzi ya aina fulani ambayo itaku affect baadae,shukuru mama kakueleza ukweli,wewe unataka kuwa mjeuri,huyo mke wako anakupenda sana na anajali mali zake big up kaka!
Vizuri kwa kuelewa ningekuwa na Camera karibu ningepiga nikuonyeshe kitu ambacho unaweka kitu kati ya laptop yako na mapaja yako,mimi ninayo,Nashikuru mkuu
Ni kweli Kuweka Laptop kwenye mapaja kuuwa nguvu zako za kiume na pia unawezakupata Kansa ya ngozi.Wadau,mm na mama watoto tumekuwa tukigombana mara kwa mara ,eti kisa ni tabia yangu ya kupakata computer( laptop)mama anadai ipo siku atakosa chakula yake!je kuna sababu zozote za kisayansi zenye kuthibitisha kuwa laptop inapunguza nguvu za kiume??