Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
Ndugu wanajamvi wenzangu...yafuatayo ni maneno ya wajumbe wa CCM wakimuongelea mwenyekiti wao ambaye wengi tunamjua kama Raisi wa Tanzania
Si rahisi kuwa na maamuzi mazito; tatizo la bwana mkubwa haeleweki. Tunashindwa kumsaidia. Tazama kama suala la Dowans, utadhani hakuna serikali, Waziri mzima (Ngeleja) anaitisha press conference anasema walipwe, Mwanasheria Mkuu wa Serikali naye anasema walipwe, Rais kakaa kimya, Kamati Kuu nayo inakaa inasema ni suala la kisheria, halikwepeki, walipwe, badala ya kufanya siasa nao wanashabikia Dowans kulipwa, sasa unajiuliza bwana mkubwa kasimamia wapi katika suala hili, huwezi kujua"
Si rahisi kuwa na maamuzi mazito; tatizo la bwana mkubwa haeleweki. Tunashindwa kumsaidia. Tazama kama suala la Dowans, utadhani hakuna serikali, Waziri mzima (Ngeleja) anaitisha press conference anasema walipwe, Mwanasheria Mkuu wa Serikali naye anasema walipwe, Rais kakaa kimya, Kamati Kuu nayo inakaa inasema ni suala la kisheria, halikwepeki, walipwe, badala ya kufanya siasa nao wanashabikia Dowans kulipwa, sasa unajiuliza bwana mkubwa kasimamia wapi katika suala hili, huwezi kujua"