Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,224
- 3,845
Habari wana MMU?
Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.
Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.
Ilifikia kipindi fulani tukaenda field aisee alikuwa hana kitu na mimi nilitumiwa kiasi fulani nikamchangia, na hivyo ndivyo tulivyo ishi hata kama alikuwa akiugua naenda kumnunulia dawa. Kiukweli nilimhurumia sana.
Tuliishi kwa magumashi mpaka tukamamaliza chuo, hatukuchukua mda tuka tukaajiriwa kwa pamoja serikalini bahati nzur mimi nilipelekwa Halmashauri karibu na kwao na yeye alipelekwa halimashauri karibu na kwetu. Siku moja niliwatembelea wazazi wake ila yeye aligoma kwenda kwetu maana tulikuwa tukiwasiliana kila mara.
Tumeishi kama mwaka na kitu tukiwasiliana inamaana urafiki wetu ulikuwa ni wamawasiliano tu, jamaa ukikwama ukamwambia akukope hela utamrudishia hata kama anayo hakupi.
Kunasiku nilipata msiba mwezi wa 5 mwaka huu ambapo nilifiwa na baba yang mzazi, aisee kipindi hicho nilikuwa sina pesa nilimuomba jamaa anikope pesa niende msibani alininyima aisee na wakati huo alikuwa akiniambia mishe zake kuwa anapesa kadhaa kwenye akaunt yake, na nilivyo enda msibani hakuwa hata akinijulia hali wala kunipa pole, kiukweli niliumia sana kwa mtu kama yule.
Hatimaye nilirudi kazini et ndio kuanza kunipigia akiniambia niambie jembe na mimi kakajisemea moyoni wewe nakutema.
Saiz yupo kwenye blacklist
Nilikuwa na rafiki yangu tulisoma pamoja chuo, wakati tupo chuo kiukweli hali yake ya maisha hata kipindi tupo chuo ilikuwa ni ngumu sana na mimi ilikuwa niyakawaida tu japo wote tulikuwa na maisha magumu ili nilijitahidi sana kusaidiana nae.
Kutokana na maisha tuliyokuwa nayo mimi nilikuwa natumiwa pesa kutoka kwa ndugu zangu ila yeye ilikuwa ni mara chache sana kupatiwa pesa hivyo ilinigharim kutoa kidogo nilicho nacho ili kumsaidia.
Ilifikia kipindi fulani tukaenda field aisee alikuwa hana kitu na mimi nilitumiwa kiasi fulani nikamchangia, na hivyo ndivyo tulivyo ishi hata kama alikuwa akiugua naenda kumnunulia dawa. Kiukweli nilimhurumia sana.
Tuliishi kwa magumashi mpaka tukamamaliza chuo, hatukuchukua mda tuka tukaajiriwa kwa pamoja serikalini bahati nzur mimi nilipelekwa Halmashauri karibu na kwao na yeye alipelekwa halimashauri karibu na kwetu. Siku moja niliwatembelea wazazi wake ila yeye aligoma kwenda kwetu maana tulikuwa tukiwasiliana kila mara.
Tumeishi kama mwaka na kitu tukiwasiliana inamaana urafiki wetu ulikuwa ni wamawasiliano tu, jamaa ukikwama ukamwambia akukope hela utamrudishia hata kama anayo hakupi.
Kunasiku nilipata msiba mwezi wa 5 mwaka huu ambapo nilifiwa na baba yang mzazi, aisee kipindi hicho nilikuwa sina pesa nilimuomba jamaa anikope pesa niende msibani alininyima aisee na wakati huo alikuwa akiniambia mishe zake kuwa anapesa kadhaa kwenye akaunt yake, na nilivyo enda msibani hakuwa hata akinijulia hali wala kunipa pole, kiukweli niliumia sana kwa mtu kama yule.
Hatimaye nilirudi kazini et ndio kuanza kunipigia akiniambia niambie jembe na mimi kakajisemea moyoni wewe nakutema.
Saiz yupo kwenye blacklist