nkyandwale
Member
- Feb 8, 2011
- 64
- 14
Katika kuwasikiliza wasemaji na wazungumzaji wa lugha na vilugha nashindwa kubaini ni lugha ipi siye Watanzaniya tunaimudu vema? Si wanataaluma, watu wa kawaida, na hata wanazuoni huchanganya ndimi. Je, kati ya lugha za Jamii, Kiswahili na Kiingereza tunaimudu vizuri lugha gani? Huwo ni umbumbu au usomi? :argue: Kwanini kama wewe, ni mlumbi wa lugha usitumiye lugha moja kwa muktadha maalum ! Nifahamishe.