Je, Huu ndio mwanzo wa Mwisho wa Barcelona?

Mkuu punaine-red. hapo kwenye red hata mimi naona ndio penye tatizo kwa Barca. Ukiangalia goli la pili la Ronaldo siku walipocheza na RM Ronald aliweza kufunga kwa sababu aliwazidi mbio mabeki wa Barca. Na sio kwamba Barca walizembea ku overcome counter attacks za RM.
Unajua mkuu, mara nyingine ukifuatilia maoni na mtazamo wa waTz ktk mambo mbalimbali iwe michezo, siasa nk, unabaki kuwahurumia tu! Mfano jaribu kutafuta Di Mateo kasema nini juu ya uchizi aliofanya Terry, hlf angalia Terry mwenyewe kasema nini, uje ulinganishe na mabandiko ya wengi humu, achana na wa mitaani angalia humu tu, hlf jiulize hao ndo wana mwanga angalau kidogo!!! Ndo maana utaona hata wachezaji wa bongo wenye tabia za kiporipori bado wana watetezi wa kutosha! Na soka letu linasonga mbele kwa kasi kubwa!!!
 
ushuzi wao.
Hawa nyama 40 yao ilitakiwa iwe tangu robo fainali.
Fanculo refa akawapa penati mbili alizozivalisha gagulo na sidiria ili zionekane halal...
Mechi ile Barca walifunga penati yao ya kwanza kisha Milan wakatulia wakatengeneza nafasi na kisha wakafunga goli safi ambalo hata mbinguni lilishangiliwa.
Baada ya hapo fanculo refa akaenda wazawadia penati ambayo ilikuwa imejaa madudu mwanzo mwisho.
Puumbav zao.
utakumbuka baada ya refa kutoa penati ya pili siku ile Mkongwe Seedorf aliyebeba champions League 4 sawa na walizobeba Timu ya Barcelona alimfuata refa na kuongea nae sana.
Sasa pale ndio utaamini kuwa kinywa cha mtu mzima kinanuka ila maneno yake hayanuki.
 
Wabongo wenye kusikilizia nini watu wengine wamesema ili mkariri na kukirudiarudia mna kazi! Tatizo la Barça kwa sasa ni mabeki wazuri wenye kasi, basi.. Hiyo habari ya Barça kutokuwa na plani b tulianza kuisikia mwaka ule man u walipopaki basi huko Camp Nou halafu wakawatoa kwa goli la Scholes huko OT. Wanaokariri wakaibuka tena mwaka juzi Inter chini ya Mourinho ilipowatoa. Cha ajabu ni kuwa kila Barça inapotolewa ikirudi inarudi na style ileile na inazikandamiza tena vibaya timu pinzani! Wazee wa kukariri tuambieni, ni kweli kuwa timu zitakazopangwa na Barça CL ijayo zitakuwa na mteremko kwa sababu 'tactic zao hazina maana' na 'zama zao zimeisha?' Timu yoyote itakayocheza mfumo wa 10-0-0 na baadaye 9-0-0 lazima itaisumbua timu pinzani hata ikiwa bora kuliko Barça.
Mkuu ingekuwa ni mabeki tungeona nne nne au tano nne,kama umengalia mechi aliyocheza na madrid na chelsea ungeona kaka, barca watafute mbinu mbadala mkuu,kumiliki mpira tu si issue nowdays,walishindwa kabisa kupitisha ile mipira yao..
 
Barcelona yabakia kuwa timu bora ulimwenguni. Furaha zetu za kufungwa kwao si kwamba waliowafunga wanajua kuliko Barca. Zinatokana na chuki za kiwango chao bora. Stay tuned!
 
Barcelona yabakia kuwa timu bora ulimwenguni. Furaha zetu za kufungwa kwao si kwamba waliowafunga wanajua kuliko Barca. Zinatokana na chuki za kiwango chao bora. Stay tuned!
Barcelona itaifunga timu pinzani zaidi kutegemea referee for more than 80%.
Mara chache wanamudu bila refa.
 
Barcelona yabakia kuwa timu bora ulimwenguni. Furaha zetu za kufungwa kwao si kwamba waliowafunga wanajua kuliko Barca. Zinatokana na chuki za kiwango chao bora. Stay tuned!

nakubaliana na wew only if ikifanya some technic change mkuu,kama ukiangalia barca ya msimu huu si ile ya msimu uliopita kaka,si kwamba imechuja,ni kwamba timu pinzani imejua udhaifu wao,barca ukimzuia messi umezuia mipira kupenetrate umewamaliza,pia mfumo wao wa kuatack wote na kukaba wote una wacost sana kwa maana hiyo ufalme wao ndo unakwenda na maji polepole mkuu..
 
Haaahaaaa! Kwa mzani huohuo tuseme ile timu ile iliyobanguliwa kwenye EUROPA na Atletico Bilbao ndani nje tuseme ndo mwisho wao au???
 
Barcelona wameprove kuwa tactics zao hazina maana, wanashindwa kuifunga timu ya watu 10, wanashindwa kuifunga timu ambayo haina central defenders (baada ya kutolewa Cahil na Terry), wanshindwa kufunga kupitia penati, wanafungwa na mfungaji asiyefunga (Torres)

ngoja nikuoneshe snap ya leo kuhusu barcauefalona..
 

Attachments

  • barca chelsea..jpg
    barca chelsea..jpg
    20.7 KB · Views: 90
Wamepoteza michezo mitatu iliyopita....
Wameondolewa kwenye UEFA champions league...
Wamezidiwa Point nyingi na dalali za kuvuliwa ubingwa wa la liga ni dhahiri...
JE HUU NDIO MWISHO WA BARCELONA??

Ni upepo tu huo. Barca itarejea ktk kiwango soon.
 
kama united,kwakweli wakichukua ubingwa wa ligi watakuwa wamenisuprize japo ni timu niipendayo,lakini haina kikosi kizuri kilichojitosheleza.
 
Zama za ubebwaji wa Barca its Over now Ouuuugh!!!..... Yeahhhhhh!!!!..... Hongereni Sana Chelsea Ila Poleni Kwanni Tutawachapeni Fainali Sisi Real Madrid...
 
Pamoja na kutolewa na chelsea bado barca kiwangi chao cha mpira kiufundi kiko juu. Hebu fikiria chelsea ikichukua kombe la UEFA, binafsi siwezi kusema chelsea ni timu bora kuliko zote ulaya.
 
hapana bado hawajaisha ila wana kazi kubwa ya kutafuta Plan-B baada ya gonga,gonga,pasi,pasi goal kushindwa kuvunja ukuta wa Chelsea wa 10-0-0 na 9-0-0, Hii inamaana Timu inaweza kuwa na wachezaji 8 na kipa wa 9 wakacheza 8-0-0 na bado wakakabili mashambulizi vilivyo....

Kuhusu messi kukosa penalti..hii ni vita ya kisaikolojia... tayari pressue ilishawapanda na wao ndo walikuwana kibarua cha kuwatoa nishai Chelsea..

Ninaelewa hasira zao Barca kuadhiriwa na Chelse na pia naelewa furaha waliyonayo Chelsea na pia mahasimu wengine wa Barca maana imekuwa kawaida kwa Barca "kupata" advantage ya mchezaji wa timu pinzani kuonyeshwa red card na kutolewa nje. Tukumbuke kwamba an Alvez alisema wanatamani Chelsea wacheze nao jumatatu (sio jumanne kama ilivyopangwa) na kwamba mashabiki wa Barca watatwararua Chelsea. "Mkamia maji hayanyi akiyanywa atapaliwa"....
 
Ni upepo tu huo. Barca itarejea ktk kiwango soon.

Labda hukohuko spain ila katika UEFA ndo baba jen hiyo!mwakani wanaume JUve wanarudi kuleta heshima barani ulaya!man city wanaleta kocha mpya pale,the gunners nao wanajipanga!
 
Back
Top Bottom