ha ha ha yalinikuta hayo nilifumwa na mzee wangu saa nane usiku naangalia pornoSintokaa nisahau siku nimeazima kanda la pilau kwa mwanangu mmoja nikaja kuicheki homeboi! Balaa likaanza ile kanda si ikaizingua deki ikawa imenasa! Ukibonyeza Eject mzigo auchomoki!
Sitasahau siku hio nilipogeuka fundi deki ghafla bila kupenda, maana jioni washua walikuwa wanakuja kuangalia kanda ya graduation ya sista!
Hahaha aisee kuna moment zinafurahisha sana maishani. Mzee baba alichukua uamuzi gani baada ya kuona video inaonesha keke?ha ha ha yalinikuta hayo nilifumwa na mzee wangu saa nane usiku naangalia porno
nilikula bakora nikaulizwa nilikozitoa nikasema,studio ya jirani nilikodisha sitasahau nilikua form two,chumba cha mzee master nilikuwa napenda kuangalia sebuleni kwa raha zangu dah nimeangalia sana ila siku aliibuka saa nane cjui ilikuwajeHahaha aisee kuna moment zinafurahisha sana maishani. Mzee baba alichukua uamuzi gani baada ya kuona video inaonesha keke?
Sintokaa nisahau siku nimeazima kanda la pilau kwa mwanangu mmoja nikaja kuicheki homeboi! Balaa likaanza ile kanda si ikaizingua deki ikawa imenasa! Ukibonyeza Eject mzigo auchomoki!
Sitasahau siku hio nilipogeuka fundi deki ghafla bila kupenda, maana jioni washua walikuwa wanakuja kuangalia kanda ya graduation ya sista!
Sintokaa nisahau siku nimeazima kanda la pilau kwa mwanangu mmoja nikaja kuicheki homeboi! Balaa likaanza ile kanda si ikaizingua deki ikawa imenasa! Ukibonyeza Eject mzigo auchomoki!
Sitasahau siku hio nilipogeuka fundi deki ghafla bila kupenda, maana jioni washua walikuwa wanakuja kuangalia kanda ya graduation ya sista!
Mkuu naeza ona iyo clip hii attached hapa tuipakue aseeMariam Mabiriani.
Mkirudi ni mwendo wa kumaliza sabuni tu kule kwenye mabwawa ya MUTEX sio?Sisi boarding Musoma Technical tulikuwa tunatoroka usiku kwenda Baruti kuangalia Kikao. Ulipokuwa unasikia twende kwenye Kikao ujue tunaenda kwa Bry kucheki Porno
dah noma umeme ukikatika yale mavhs hayatoki nilikuwa natabia ya kufungua deki nakakata uziOgopa sana tv ya home ipo seblen umevizia wazaz wote na wadogo zako wametoka upo pekeyako uweke mkanda huo alafu umeme ukatike