kanyampaog
Member
- Apr 25, 2011
- 11
- 2
Naomba kuuliza wajameni, mtoto wa kike ukiwa na mahusiano na mtu unampenda kwa moyo wako wote, ukamficha baadhi ya mali zako ni sahihi kuwa unampenda au unajidanganya tu na nafsi yako? Mali hizo ni kama vile kuwa na kiwanja then unaficha wakati ye kakuweka wazi vyakwake. Na je kumuweka wazi kabla ya ndoa na mkaamua hata kujenga kwa pamoja ni inashauriwa?