Wengine wakina nani?
kwani hujua kuwa hata ww ndo ulivyofanya.(afribongo style)
Habar wana jf
mm na mpenzi wangu tuna hamu ya kuishi pamoja,lakini mpango wa kufunga ndoa mpaka sasa haueleweki.je?2naweza kuishi pamoja halafu ndoa baadae kama nyinyi wengine?
msaada tafadhali.
Habar wana jf
mm na mpenzi wangu tuna hamu ya kuishi pamoja,lakini mpango wa kufunga ndoa mpaka sasa haueleweki.je?2naweza kuishi pamoja halafu ndoa baadae kama nyinyi wengine?
msaada tafadhali.
pepo la uzinzi linakuita kijana. Kwani kufunga ndoa hadi harusi? Nenda kwa mchungaji na mwenzako na wazazi wenu na mashahidi wanne jmosi moja saa nne mnakuwa tayari mume na mkehabar wana jf
mm na mpenzi wangu tuna hamu ya kuishi pamoja,lakini mpango wa kufunga ndoa mpaka sasa haueleweki.je?2naweza kuishi pamoja halafu ndoa baadae kama nyinyi wengine?
Msaada tafadhali.
Ndugu yangu unaelekea huna dini. Maana dini zote zina utaratibu wake wa kufunga ndoa na hakuna dini inayoruhusu kufanya uziinzil wanaofanya wanafanya for their interest. hawataiki dini hivyo wanajifanya ni watu wa serikali. Hiyo tayari ni kufru na rudi kwa Mola wako utubu madhambi yako.Habar wana jf
mm na mpenzi wangu tuna hamu ya kuishi pamoja,lakini mpango wa kufunga ndoa mpaka sasa haueleweki.je?2naweza kuishi pamoja halafu ndoa baadae kama nyinyi wengine?
msaada tafadhali.