Je, hii ni kweli??

Dr. Wansegamila

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
2,858
7,847
Hii ni maalum kwa wakwepa kodi jamani.......
 

Attachments

  • 242361_1823567987896_3341696_o.jpg
    242361_1823567987896_3341696_o.jpg
    70 KB · Views: 452
Hapo wameteleza,kodi zipo kwenye migodi zinawashinda kukusanya.
 
Na wanawake je? kodi haiwahusu? Tatizo la ajila za kupeana, huyo Marketing Manager ni kilaza kawadhalilisha wanawake.
 
Na wanawake je? kodi haiwahusu? Tatizo la ajila za kupeana, huyo Marketing Manager ni kilaza kawadhalilisha wanawake.
yale yale ya mwalimu ...wala rushwa....atachapwa viboko sita wakati wa kuingia na sita wakati wa kutoka akamuonyeshe mkewe!!......wanaume ndo wala rushwa tu!!!!!!!!!!!!!
 
TRA wezi tu, kodi wanatukata sie wafanyakazi kwa kuwa wanazikata direct kwenye mishahara yetu, lakini wafanyabiashara wa nchi yetu wanapeta sana tena wafanyabiashara wa Kihindi ndo wanashirikiana na TRA kutuibia
 
Bado sijaelewa uhusiano wa kuoa na kulipa kodi!Msaada tafadhali wadau!

nilivyoelewa hapa ni kwamba inakuwaje unapata pesa ya kutoa mahari, lakini kodi kulipa inakushinda. wabunifu kweli hawa ila ndiyo hivyo tena kodi hawakusanyi.
 
Back
Top Bottom