Kabila la lozi ni miongoni mwa makabila duniani yanayodumisha tamaduni zao na sherehe ya "kuomboka" imekuwa ni kivutio kikubwa na imevutia siyo tu watalii wa ndani na nje nchi pia na makampuni katika nyanja ya udhamini.
Watu mashuhuri walihudhuria katika hafla hii akiwa Rupia Banda (alitinga sketi - vazi la utamaduni), pia waziri wa fedha alikuwa miongoni mwa wapiga makasia wa chifu limulunga!
Je hii inawezekana kwetu?
Watu mashuhuri walihudhuria katika hafla hii akiwa Rupia Banda (alitinga sketi - vazi la utamaduni), pia waziri wa fedha alikuwa miongoni mwa wapiga makasia wa chifu limulunga!
Je hii inawezekana kwetu?