Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
- Thread starter
- #21
Program Alert:Interview na Powerbreakfast yaahirishwa.
Mzee Mwanakijiji
Yesterday, 10:38 PM
Kwa mujibu wa Bw. Gerald, sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wake zililazimu kuahirisha mahojiano yake nami kuhusu suala hili la mafuriko na sasa tunatarajiwa kufanya siku ya Alhamisi. Poleni na samahani kwausumbufu wale wote ambao mlikuwa mnasubiria kwa hamu.
Napenda kuwataarifu kuwa nitakuwa hewani na kuzungumza na kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na Clouds FM. Kwa sasa itakuwa baada ya saa mbili za asubuhi hivi na ninatumaini tutazungumza mengi yanayohusu mustakabali wa taifa letu hasa wakati huu ambapo tunashuhudia majanga ya mafuriko n.k
Usikose, change is not what we pray or wait for, it is what we bring!
__________________
KUNA WAKATI WA KUCHUKUA MSIMAMO; NA KUNA WAKATI WA KUONESHA UONGOZI NA KULIPA GHARAMA YA YOTE MAWILI. KAMPENI YA KUCHANGIA WAHANGA WA MAFURIKO NI WAKATI KAMA HUO. M.M.
Last edited by Mzee Mwanakijiji; Today at 09:49 AM..
Mzee Mwanakijiji
JF Premium Member
Join Date: Fri Mar 2006
Location: Kijijini
Posts: 17,109
Thanks: 3,318
Thanked 1,721 Times in 476 Posts
Report Post
Subscription
Show Printable Version
Email this Page
Add to Mzee Mwanakijiji's Reputation
Views: 1030
The Following 9 Users Say Thank You to Mzee Mwanakijiji For This Useful Post: bht (Today), Dark City (Today), KIWAVI (Yesterday), MtazamoWangu (Today), MwanajamiiOne (Today), Pasco (Yesterday), Sanctus Mtsimbe (Yesterday), Waberoya (Today), Wacha1 (Yesterday)
Mzee Mwanakijiji
Kwa mujibu wa Bw. Gerald, sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wake zililazimu kuahirisha mahojiano yake nami kuhusu suala hili la mafuriko na sasa tunatarajiwa kufanya siku ya Alhamisi. Poleni na samahani kwausumbufu wale wote ambao mlikuwa mnasubiria kwa hamu.
Napenda kuwataarifu kuwa nitakuwa hewani na kuzungumza na kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na Clouds FM. Kwa sasa itakuwa baada ya saa mbili za asubuhi hivi na ninatumaini tutazungumza mengi yanayohusu mustakabali wa taifa letu hasa wakati huu ambapo tunashuhudia majanga ya mafuriko n.k
Usikose, change is not what we pray or wait for, it is what we bring!
__________________
KUNA WAKATI WA KUCHUKUA MSIMAMO; NA KUNA WAKATI WA KUONESHA UONGOZI NA KULIPA GHARAMA YA YOTE MAWILI. KAMPENI YA KUCHANGIA WAHANGA WA MAFURIKO NI WAKATI KAMA HUO. M.M.
Last edited by Mzee Mwanakijiji; Today at 09:49 AM..
Mzee Mwanakijiji
JF Premium Member
Location: Kijijini
Posts: 17,109
Thanks: 3,318
Thanked 1,721 Times in 476 Posts
Views: 1030
The Following 9 Users Say Thank You to Mzee Mwanakijiji For This Useful Post: bht (Today), Dark City (Today), KIWAVI (Yesterday), MtazamoWangu (Today), MwanajamiiOne (Today), Pasco (Yesterday), Sanctus Mtsimbe (Yesterday), Waberoya (Today), Wacha1 (Yesterday)