FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,153
- 40,845
- Thread starter
- #421
Hakusema wamefunga ndoa, kasema tu katoka ubavuni hivyo ni halali yake..Kwani Wanandoa wanazini?
Hakusema wamefunga ndoa, kasema tu katoka ubavuni hivyo ni halali yake..Kwani Wanandoa wanazini?
Kina Adam na Hawa kila siku wanafunga ndoa, Misikitini, Makanisani, Majumbani, Bomani, Kwenye mahekalu na kadhalika.Je, walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Hiyo Mungu mwenyewe aliibariki. Imagine Mungu mwenyewe alimtafutia mke AdamJe, walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Kamtafutia mwanamke, sio mke. Ili awe mke inabidi wafunge ndoa. Hiyo ndoa walifungia wapi?Hiyo Mungu mwenyewe aliibariki. Imagine Mungu mwenyewe alimtafutia mke Adam
Mkuu Mungu amekupa mke unajadili ndoa !!???Kamtafutia mwanamke, sio mke. Ili awe mke inabidi wafunge ndoa. Hiyo ndoa walifungia wapi?
Anakuwaje mke na hujamuoa?Mkuu Mungu amekupa mke unajadili ndoa !!???