Quartz360
Senior Member
- Mar 27, 2023
- 124
- 302
Habarini wanajukwaa.
Kwa namna hali ilivyo katika nchi yetu imekua ni changamoto Sana kwa mtu kuanza "from Zero to Hero" Jambo linalofanya watu wengi wanao hustle kuamini kuwa mazingira si rafiki kwa wao kufanikiwa yaani kuwa self-made Billionaires ukiwatoa wale talented people ambao kwao imekua sio changamoto kubwa kutokana na uwepo wa vipaji vyao"
Mtazamo wangu.
Kwa namna hali ilivyo katika nchi yetu imekua ni changamoto Sana kwa mtu kuanza "from Zero to Hero" Jambo linalofanya watu wengi wanao hustle kuamini kuwa mazingira si rafiki kwa wao kufanikiwa yaani kuwa self-made Billionaires ukiwatoa wale talented people ambao kwao imekua sio changamoto kubwa kutokana na uwepo wa vipaji vyao"
Mtazamo wangu.