Je, CHADEMA na Wananchi Peke yao wanaweza kupambana na Ukoloni Mamboleo?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,152
20,327
Ni wakati sasa tuanze kufikiria namna ya kucheza na siasa zetu.

Je Chama cha siasa kama chadema na wafuasi wake wasiozidi Milioni 30 Tanzania wanaweza kupambana na Ukoloni Mambo leo wakashinda?

Nitafafanua kwa kutoa mifano iliyojengeka kwenye dhana zifuatazo.

1. Chama dola chama cha mapinduzi kinafadhiliwa na nani? Nani anakipa nguvu hizo zilizopo? Tunaamini Ccm bila mkoloni mambo leo si chochote si lolote kwa nguvu ya umma.

2. Kama kweli hayo yanayosemwa ni sahihi je ni kweli wananchi wanaweza kushinda hiyo vita ya ngorongoro?

3. Wale wanaopingana na mkataba wa uwekezaji bandari je wana uhakika na kujua nani yuko nyuma ya uwekezaji na mkata huo? Je sio hao hao wakoloni mamboleo?

3. EU, WB, DU, IMF, na vyombo vingine vinavyojitapa kuwa mbele kwenye maendeleo ya demokrasia na haki za binadamu je wako na mikakati halisi au wanazuga tu ili mambo yao yaende sawa?

Inakuwaje uchaguzi unafanyika wanaibuka kama uyoga kupinga na kukosoa kuwa haukuwa huru na haki harafu baada ya mwezi unasikia EU yatoa msaada wa bIlioni 800 kusaidia serikali( chama) hicho hicho?

Mimi naona hapa duniani sisi waafrika tulikuja kusindikiza mabara mengine kwenye maendeleo na ustawi wa watu.

Hitimisho:

Si Rais, si jeshi, si polisi wala chama chochote cha siasa kinaweza kumaliza matatizo ya Tanzania yanayosababishwa na Ukoloni mambo leo.

Lawama zingine kwa viongozi wa chama tawala sometime tunawaonea na wao hawana cha kufanya na hawawezi kusema hadharani. Ni aibu tu.
 
Umesema jambo hapo!
Tatizo ni kwamba hao wakoloni mamboleo wanatumia udhaifu wa tamaa pamoja na ubinafsi wa viongozi wetu kujineemesha.
Ndio maana unaona mabaka mabaka kule Afrika magharibi.
Mali,Burkinafaso, Niger na sasa Gabon hawamtaki mfaransa.
Wako Radhi kumkubali Yevgeny Wagner kuliko Mkoloni mfaransa anayeendesha bajeti kwa raslimali za makoloni yake.
Huku akifadhili vikundi vya kigaidi ili wawe Political unstable wakati yeye mfaransa akiendelea kuvuna raslimali zao.
 
Ni wakati sasa tuanze kufikiria namna ya kucheza na siasa zetu.

Je Chama cha siasa kama chadema na wafuasi wake wasiozidi Milioni 30 Tanzania wanaweza kupambana na Ukoloni Mambo leo wakashinda?

Nitafafanua kwa kutoa mifano iliyojengeka kwenye dhana zifuatazo.

1. Chama dola chama cha mapinduzi kinafadhiliwa na nani? Nani anakipa nguvu hizo zilizopo? Tunaamini Ccm bila mkoloni mambo leo si chochote si lolote kwa nguvu ya umma.

2. Kama kweli hayo yanayosemwa ni sahihi je ni kweli wananchi wanaweza kushinda hiyo vita ya ngorongoro?

3. Wale wanaopingana na mkataba wa uwekezaji bandari je wana uhakika na kujua nani yuko nyuma ya uwekezaji na mkata huo? Je sio hao hao wakoloni mamboleo?

3. EU, WB, DU, IMF, na vyombo vingine vinavyojitapa kuwa mbele kwenye maendeleo ya demokrasia na haki za binadamu je wako na mikakati halisi au wanazuga tu ili mambo yao yaende sawa?

Inakuwaje uchaguzi unafanyika wanaibuka kama uyoga kupinga na kukosoa kuwa haukuwa huru na haki harafu baada ya mwezi unasikia EU yatoa msaada wa bIlioni 800 kusaidia serikali( chama) hicho hicho?

Mimi naona hapa duniani sisi waafrika tulikuja kusindikiza mabara mengine kwenye maendeleo na ustawi wa watu.

Hitimisho:

Si Rais, si jeshi, si polisi wala chama chochote cha siasa kinaweza kumaliza matatizo ya Tanzania yanayosababishwa na Ukoloni mambo leo.

Lawama zingine kwa viongozi wa chama tawala sometime tunawaonea na wao hawana cha kufanya na hawawezi kusema hadharani. Ni aibu tu.
Hiyo Hadaa ya misaada na vijimambo vifananavyo ndio maana halisi ya ukoloni mambo leo,japo mfaransa yeye bado anao ukoloni mambo kale, na umesha tumbukiza nyongo 🤸🤸🤸
 
Hiyo Hadaa ya misaada na vijimambo vifananavyo ndio maana halisi ya ukoloni mambo leo,japo mfaransa yeye bado anao ukoloni mambo kale, na umesha tumbukiza nyongo 🤸🤸🤸
Tunaona rasilimali zetu wanachukua kwa zamu kwa awamu.

Siamini kuwa Viongozi wetu wa kitaifa wanapenda hali hiyo.
 
Umesema jambo hapo!
Tatizo ni kwamba hao wakoloni mamboleo wanatumia udhaifu wa tamaa pamoja na ubinafsi wa viongozi wetu kujineemesha.
Ndio maana unaona mabaka mabaka kule Afrika magharibi.
Mali,Burkinafaso, Niger na sasa Gabon hawamtaki mfaransa.
Wako Radhi kumkubali Yevgeny Wagner kuliko Mkoloni mfaransa anayeendesha bajeti kwa raslimali za makoloni yake.
Huku akifadhili vikundi vya kigaidi ili wawe Political unstable wakati yeye mfaransa akiendelea kuvuna raslimali zao.
Ndio maana nikasema si Polisi wala jeshi linaweza kupamba na ukoloni Mamboleo. Maana una nguvu kubwa na ushawishi.
 
Hiyo Hadaa ya misaada na vijimambo vifananavyo ndio maana halisi ya ukoloni mambo leo,japo mfaransa yeye bado anao ukoloni mambo kale, na umesha tumbukiza nyongo 🤸🤸🤸
Ni ngumu sana kuchomoa.
 
Tanzania ni koloni mambo-leo. Huo ndio mfumo unaotawala nchi yetu. CCM ni sawa na CEO (meneja mkuu) wa kampuni ambayo wenyewe ni US, World Bank, IMF, NATO, EU na kadhalika.
Vyama vya upinzani vinagombea hicho cheo cha CEO - PERIOD. Wasitudanganye. Hawata badili mfumo wa ukoloni mambo-leo bali watauendeleza
 
Tanzania ni koloni mambo-leo. Huo ndio mfumo unaotawala nchi yetu. CCM ni sawa na CEO (meneja mkuu) wa kampuni ambayo wenyewe ni US, World Bank, IMF, NATO, EU na kadhalika.
Vyama vya upinzani vinagombea hicho cheo cha CEO - PERIOD. Wasitudanganye. Hawata badili mfumo wa ukoloni mambo-leo bali watauendeleza
Vyama pinzani huenda vikawaomba hao wakoloni mamboleo anhalau watuachie baadhi ya makombo.

Hali ilovyo sasa ni mbaya.
 
Back
Top Bottom