Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Hili ni swali kwa wafanyakazi, wataalamu na weledi wa shughuli za kibenki.
Bazazi ni mwanachama (sio mwanahisa) ktk benki ya benki mojawapo hapo Tanzania kwa kitambo sasa. Mwezi uliopita yaani 12/2008, Bazazi amefahamu kitu ambacho kwa muda wote huo alikuwa hakifahamu kuhusu mabenki. Alichokifahamu ni gharama au ada anazolipa kwa kuhifadhi vijisenti vyake huko. Gharama anazolipa Bazazi ni za aina tatu kwa mchanganuo ufuatao;
-ATM service charge TAS 350/- kwa kila atumiapo huduma hiyo.
-Monthly service charge TAS 400/-
-Annual card fee 5000/-.
Kwa maelezo hayo BAzazi anaomba kufahamishwa haya;
-Je ni halali yeye kulipa ada hizo?
-Hela wanazopata benki kutokana na kukopesha pesa yake bila ridhaa yake inafanya kazi gani?
-Je wazungu walioanzisha utaratibu wa benki nao wanalipa ada hizo?
-Je huko sio kuwaibia wateja hasa ukizingatia kuwa Bazazi analipa ada isiyopungua TAS 15200/- kwa mwaka.
Bazazi anategemea majibu MUJARABU na wala sio kashfa na matusi.
Bazazi anatanguliza shukurani zake za dhati.
Bazazi ni mwanachama (sio mwanahisa) ktk benki ya benki mojawapo hapo Tanzania kwa kitambo sasa. Mwezi uliopita yaani 12/2008, Bazazi amefahamu kitu ambacho kwa muda wote huo alikuwa hakifahamu kuhusu mabenki. Alichokifahamu ni gharama au ada anazolipa kwa kuhifadhi vijisenti vyake huko. Gharama anazolipa Bazazi ni za aina tatu kwa mchanganuo ufuatao;
-ATM service charge TAS 350/- kwa kila atumiapo huduma hiyo.
-Monthly service charge TAS 400/-
-Annual card fee 5000/-.
Kwa maelezo hayo BAzazi anaomba kufahamishwa haya;
-Je ni halali yeye kulipa ada hizo?
-Hela wanazopata benki kutokana na kukopesha pesa yake bila ridhaa yake inafanya kazi gani?
-Je wazungu walioanzisha utaratibu wa benki nao wanalipa ada hizo?
-Je huko sio kuwaibia wateja hasa ukizingatia kuwa Bazazi analipa ada isiyopungua TAS 15200/- kwa mwaka.
Bazazi anategemea majibu MUJARABU na wala sio kashfa na matusi.
Bazazi anatanguliza shukurani zake za dhati.